JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yah: Dakika zinayoyoma, sera zinauzika, kazi kwa wapambe

Kama ingelikuwa ni mashindano ya mpira, basi tungesema kipindi cha mapumziko kimeshapita na kipindi cha pili kinaelekea kwisha, pambano halihitaji kupigiana penalti mshindi lazima apatikane kwa matokeo yoyote. Wachezaji wote wanatumia nguvu zao zote na kuangalia makosa madogo ya wachezaji…

Hatuheshimu ndevu, hata kidevu!

“Huyu ni mpiganaji kama sisi. Lakini bunduki yake ni tofauti na zetu. Bunduki yetu inaweza kuua askari mmoja kwa wakati mmoja, na mlio wake hausikiki hata Mueda. Lakini bunduki yake (kalamu) inaua maadui wa uhuru kwa mamilioni duniani kote na…

Kushitaki askari wabambika kesi

Imekuwa ni kawaida watu kubambikwa kesi hapa nchini. Mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo kifedha dhidi ya wasio na fedha pia kati ya maofisa wa polisi na raia.   Mtu kwa sababu ana pesa au cheo, anaweza…

Nani awafute machozi wamiliki wa daladala?

Kwanza nianze kwa kuwasalimu na kuwapa hongera kwa kipindi hiki cha kampeni za Uchaguzi Mkuu. Najua mashabiki na wafuasi wa wagombea, presha zinapanda na kushuka kila siku. Nawatakia heri kwa kuwa maisha yataendelea hata baada ya Oktoba 25, sisi wa…

Asante Azam Media, Samatta

Huu ni msimu wa tatu tangu Azam Media waanze kuidhamini Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Udhamini huo wa Azam Media Group umesaidia kunogesha msisimko wa michuano hiyo kwa kufanya timu nyingi kuwa katika mkao wa kiushindani, tofauti na misimu…

Lubuva moto

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, amesema wanaodhani atakipendelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye utangazaji matokeo ya Uchaguzi Mkuu, wanajidanganya. Amesema yeye ni mtu mwenye msimamo usioyumba na hawezi kuzuia uamuzi wa watu kwenye…