JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nauli mpya daladala zawatesa wakazi Dar

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Kamanda Mohamed Mpinga, amesema ni uonevu mkubwa kumtoza mtu nauli kubwa tofauti na ile iliyoelekezwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA). Kamanda Mpinga amewataka wananchi kuwa na…

Utaratibu wa kisheria unaponunua ardhi ya kijiji

Tulipoandika namna bora na taratibu maalum za kufuata unapotaka kununua ardhi, tulisema pia kuwa taratibu za ununuzi wa ardhi huwa zinatofautiana kutegemeana na  mazingira ya kila ardhi. Tukasema unaponunua ardhi kwa msimamizi wa mirathi ni tofauti na unaponunua kwa mmiliki…

Tuhoji mpango mpya wa maendeleo wa UN

Mwezi uliopita Umoja wa Mataifa umezindua mpango mpya wa maendeleo na wa kupambana na umaskini duniani kufuatia kufikia tamati kwa Mpango wa Maendeleo ya Milenia. Mpango huu mpya unajulikana kama Sustainable Development Goals, na umepitishwa na viongozi wa nchi wanachama…

Biashara za ‘Kidijitali’

Hihitaji mamilioni kuzalisha mabilioni isipokuwa unahitaji wazo, taarifa, uwezo wa kuwasiliana na ujasiriamali vitakavyokuletea mabilioni. Vile vile miaka ya hivi karibuni hapa nchini Tanzania kuna vijana wamebuni mfumo wa kukata tiketi kwa kutumia simu za mikononi. Kinachofanyika ni kwamba unakata…

Ukistaajabu ya Morinho, utayaona ya Juma Nyoso

Soka ni mchezo unaochezwa hadharani na kupindisha jambo lolote ni kutafuta kujidhalilisha kwa makusudi, hasa katika ulimwengu wa sasa ambao teknolojia imeshika hatamu. Soka linachezwa uwanjani na wachezaji 22, lakini wanaotazama ni maelfu ya watu, na mamia ya kamera yanachukua…

Dk. Magufuli amgeuzia kibao Lowassa

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kupuuza majigambo ya vyama vya ushindani akidai endapo watashinda uchaguzi huu, watawatesa wananchi. Kadhalika, Dk. Magufuli ameshangazwa na mabosi wake wa zamani-mawaziri…