JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Maji bado ni tatizo sugu

*Wananchi wanakunywa maji na ng’ombe visimani Na Clement Magembe, Handeni   Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wamesema tatizo la maji limezidi kuwa sugu huku baadhi ya maeneo yakipata maji iwapo viongozi wa kitaifa wanapofanya ziara zao wilayani humo,…