JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nauli za daladala kushuka Machi 18

Nauli za daladala nchini zinatarajia kushuka mwishoni mwa mwezi huu kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta nchini na duniani kwa ujumla.   Mwenyekiti  wa Chama cha Wamiliki wa Daladala Mkoa wa Dar es Salaam (DRCOBOA), Sabri Mabrouk, ameiambia JAMHURI…

Uhamiaji ‘wauza’ nchi

Maisha ya Watanzania yapo hatarini kutokana na mtandao wa wafanyabiashara ya kusafirisha binadamu duniani (human traffickers) kutoka nchini Pakstan kuivuruga Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, kwa kutengeneza mtandao ndani ya Idara ya Uhamiaji.   Vyanzo vya habari vya…

Kumekucha urais

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe; imedaiwa kuwa anaendesha kampeni kali ‘kimyakimya’ kuhakikisha anateuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania kiti cha urais mwaka huu. Habari za kiuchunguzi zisizotiliwa shaka ilizozipata Gazeti la JAMHURI, zinaonesha…

Maji bado ni tatizo sugu

*Wananchi wanakunywa maji na ng’ombe visimani Na Clement Magembe, Handeni   Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wamesema tatizo la maji limezidi kuwa sugu huku baadhi ya maeneo yakipata maji iwapo viongozi wa kitaifa wanapofanya ziara zao wilayani humo,…