JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwasisi wa TANU: Rais ni Dk. Slaa

Mwasisi wa Chama cha Tanganyika African National Union (TANU), Lameck Bogohe (93), amesema mtu pekee anayestahili kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod…

Maaskofu wamtega Kikwete

Tamko lililotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Katiba Mpya, Mahakama ya Kadhi na Hali ya Usalama nchini, limeitikisa Serikali. Taarifa kutoka serikalini zinasema kwamba tamko lililotolewa na maaskofu hao linavunja moyo wa harakati za Rais Jakaya Kikwete anayetaka Tume…

Zahoro Matelephone arejea Dar

Mfanyabiashara anayedaiwa kujihusisha na usafirishaji na uuzaji dawa za kulevya nchini Zahoro Khamis Zahoro (Zahoro Matelephone) amerejea nchini kimya kimya baada ya kudaiwa kukamatwa katika nchi za Falme za Kiarabu. Matelephone ni mfanyabiashara anayemiliki maduka kadhaa ya simu za mkononi…

Lowassa aanza Safari ya Matumaini

. Machinga wamkabidhi Sh milioni 1, zana za kazi .Wakulima wa Tanga nao wamwagia Sh. 200,000 .Madiwani Bariadi wafunga safari kwenda Monduli .Mwenyewe azungumza mazito kwenye waraka   Wakati makada sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiendelea kufungwa kwenye adhabu…

Watoto wa marehemu (mke/mme) hugawanaje mirathi?

Mara nyingi nimeandika kuhusu mirathi, lakini zaidi nimegusia habari ya usimamizi wa mirathi. Leo nimeona ni muhimu kueleza mgawo wa mirathi kwa kuangalia nani anapata nini kupitia sheria ya mirathi ya Serikali. Mgawo ukoje ikiwa mume amefariki? Kama mume amefariki…

Wapigakura Rais safi tunamjua

Wiki iliyopita katika Safu hii ya Fasihi Fasaha, nilizungumzia kupata rais safi inawezekana Watanzania watapotimiza wajibu wao. Nilikusudia kuzungumza na Watanzania ambao ndiyo wapigakura wenye uamuzi wa kupata rais safi.  Makala ile imechangiwa na wasomaji wengi wakiunga mkono na kuhoji…