JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uraia siyo uzalendo (2)

  Katika toleo lililopita niliishia kuchambua maneno ya mwanzo yaliyokuwamo kwenye Katiba Tanganyika ya 1961 mara baada ya Uhuru.   Maneno ya utangulizi kutoka kwa Mwalimu Nyerere yaliyosomeka hivi: namnukuu, “In particular I trust that the young will take particular…

Chombo kwenda mrama, kurejesha lawama

Neno CHOMBO katika lugha yetu ya Kiswahili lina maana au tafsiri nyingi katika matumizi. Katika tafsiri sahihi na sanifu CHOMBO lina maana sita kwa maelezo yaliyomo kwenye Kamusi ya Kiswahili Sanifu, toleo la pili la 2004. Kamusi hiyo kwa ufupi…

Yah:  Naomba urais tena, sababu ninazo, ninatosha

Ndugu wananchi, katika waraka wangu uliopita niliomba mnipe nafasi ya kuongoza Taifa hili kubwa Afrika Mashariki na taifa tajiri kwa rasilimali zake, likiwa na kundi kubwa la maskini. Nazungumzia maskini waliokata tamaa na kukosa muelekekeo wa maisha yao, wamekata tamaa…

Mke asiye wa ndoa, mtoto wa nje hawarithi kisheria

Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea hayati alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshuhudia ugomvi mkubwa misibani, pia tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali…

Wakati Dar kumejaa, tusisahau vijijini

Nionavyo mimi, jiji la Dar es Salaam limejaa. Watu, magari, na changamoto za kila aina.  Takwimu za Sensa ya Taifa ya mwaka 2012 ilionesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wakazi 3,133 kwa kilomita ya mraba wakati wastani…

Mikopo ni sehemu ya biashara

  Visa na mikasa ya wajasiriamali kukopa na baadaye kujikuta wakishindwa kurejesha mikopo yao ni vingi sana mahali pote, si tu Tanzania bali duniani kote. Mikopo imekuwa chanzo cha baadhi ya wajasiriamali na wafanyabiashara kudhalilika, kurudi nyuma kimaendeleo na hata…