JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC K’njaro amilikisha marehemu kiwanja

Ndugu zangu wanahabari, Januari 30 mwaka huu, niliwaiteni na kuwaeleza kwa kirefu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichokuwa na hati namba 10660 ambacho ndipo zilipo Ofisi za Kata ya Mawenzi ambacho zamani kilikuwa kikimilikiwa na The Registered Trustees of Mawenzi Sports…

Ripoti yabaini madudu zaidi TRL

Ripoti ya awali kuhusu uchunguzi wa mchakato wa ununuzi wa mabehewa mabovu uliofanywa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imebaini kuwa menejimenti ya kampuni hiyo haikuwa makini kushughulikia maombi ya kuongezewa muda, yaliyowasilishwa na Kampuni ya Hindusthan Engineering and Industries Limited…

Magaidi: Mufti atoa agizo kali

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amevitaka vyombo vya dola kufuatilia kwa makini baadhi ya misikiti inayodaiwa kutumiwa na baadhi ya waumini wake kufanya mazoezi nyakati za usiku.  Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalum yaliyofanyika hivi karibuni,…

Kova futa agizo lako, ajali zinatumaliza

Wiki mbili zilizopita, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amemaliza mgomo wa madereva.    Kova alimaliza mgogoro huo baada ya madereva kukataa kwenda tena darasani kila baada ya miaka mitatu, na akaagiza tochi…

Kipande ang’olewa rasmi Bandari

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, Madeni Kipande, ameng’olewa rasmi katika wadhifa huo baada ya uchunguzi wa Serikali kubaini kuwa hana sifa za kuongoza Bandari.   Kwa mujibu wa Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, Kipande amekuwa…

Tuweke kando Katiba Inayopendekezwa

Tanzania ni kisiwa cha amani. Kauli hii imezungumzwa mara nyingi na kuwabwetesha Watanzania. Nchi kwa sasa ina mtihani mgumu. Kuna mtihani wa Uchaguzi Mkuu, unaopaswa kufanyika Oktoba, mwaka huu na Katiba Inayopendekezwa inayodhaniwa kuwa kura ya maoni itafanyika Julai, mwaka…