JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Msumbiji, Tanzania tuenzi undugu wetu

Msumbiji na Tanzania, ukweli ni nchi ndugu tangu zama. Msumbiji tangu hizo zama ni sumbiji. Tanzania ni nchi mpya iliyoundwa kutokana na nchi mbili huru, Tanganyika na Zanzibar. Katika ukweli huo nchi hizo ndizo hasa ndugu wa Msumbiji. Ndipo ninapothubutu…

Raia kukataa kukamatwa taratibu zikikiukwa

Siku zote wananchi wamekuwa wakililalamikia Jeshi la Polisi kwa namna linavyoendesha shughuli zake hasa wakati wa ukamataji (arresting). Matumizi ya nguvu, ubabe na kutofuata sheria na utaratibu maalum vimekuwa ndiyo tatizo kubwa kwa wananchi dhidi ya askari. Siyo siri, askari…

Dhana ya Demokrasia yetu inakumbana na changamoto

Pamoja na hatua zilizofikiwa kukuza demokrasia chini ya mfumo wa vyama vingi vya siasa, bado ziko changamoto zinazoathiri hali ya kukua na kushamiri kwa demokrasia nchini. Ile tafsiri asilia ya demokrasia inasema hivi: Serikali inayoongozwa na watu. Aidha ni aina…

Uchaguzi 2015: Uchumi wetu unahitaji uongozi wenye mtazamo ya kitajiri

Nafahamu kuwa nchi iko kwenye joto la uchaguzi na joto hilo ni kubwa ndani ya chama tawala ikilinganishwa na ilivyo nje (kwenye vyama vingine). Wasomaji mnajua kuwa safu yangu ya uchumi na biashara huwa sizungumzii siasa hata tone. Hata leo…

Fasta fasta inavyoumiza michezoni

Wahenga walinena “haraka haraka haina baraka” tena wakanena “mwenda pole hajikwai.” Wahenga pia walitambua kuwa kwenye dharura haraka inaweza kutumika ndiyo maana wakanena pia “ngoja ngoja yaumiza matumbo.”  Tunajua vyema kuwa dharura huwa haidumu, na jambo la mara moja linatatuliwa…

Tunahitaji Rais dikteta-Msuya

Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya amesema kwamba Tanzania kwa sasa inahitaji Rais mwenye uamuzi mgumu, mwenye kariba ya udikteta. Waziri Mkuu huyo mwenye rekodi ya aina yake ya kutumikia wadhifa huo kwa marais wawili wa awamu ya kwanza na…