JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yah: Kuna koo za uongozi, koo za biashara

Nakumbuka zamani wakati wa machifu, waliokuwa viongozi wetu wa kijadi, walikuwa wanamiliki mashamba kidogo, wake kidogo, na mali ya jamii inayowazunguka. Mali iliyomilikiwa na chifu na ambayo kimsingi ilikuwa ya jamii ni pamoja na mashamba, chakula, busara, na uamuzi mzito…

Miaka 39 imetimu, tuendelee kuomboleza mauaji Soweto

Leo ni Juni 16, 2015. Tarehe kama hii mwaka 1976 katika mji wa Soweto nchini Afrika Kusini, watoto wa shule wapatao 600 waliuawa na utawala wa Wazungu (makaburu) kwa kumiminiwa risasi za moto wakiwa katika maandamano ya amani kupinga mtaala mpya…

Siasa zinaishia getini

Moja ya majukumu yangu nikiwa Butiama ni usimamizi wa kutangaza Kijiji cha Butiama kama kivutio cha utalii ndani ya programu ya Utalii wa Utamaduni inayoratibiwa na Bodi ya Utalii Tanzania. Butiama inajumuisha vivutio vya utalii vya aina mbalimbali, ikiwa ni…

Ada ya kutafuta hati ya nyumba, kiwanja

Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina yaani kutoka mmiliki wa mwanzo kwenda kwa mmiliki mpya aliyenunua. Upo usumbufu ambao husababishwa kwa makusudi na maafisa wanaohusika, lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka…

Je, wote tuwe wajasiriamali?

Kwenye anga za uchumi na biashara kumekuwa na changamoto inayojirudia kutoka kwa baadhi ya wasomaji kuhusu dhana ya ujasiriamali.  Licha ya wasomaji kuzikubali makala hizi, lakini wamekuwa na walakini ikiwa inawezekana Watanzania wote tukawa wajasiriamali. Nafahamu kuwa si watu wote…

Messi wa Simba kortini, Messi wa Barca dimbani

Ninapotazama soka hapa nchini, nawaona wachezaji wetu ni kama yatima kutokana na mfumo wa ukuzaji wa vipaji wa nchi, kadhalika ni wa kujitakia. Kuna kitu kikubwa wachezaji wetu wanachokosa, wamekuwa ni watu wanaojipa majukumu mazito kwa kutokujua au ubinafsi tu. Mchezaji…