JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mjasiriamali na uhakika wa kesho

Mara nyingi ninapochambua masuala haya ya biashara na uchumi huwa ninakwama kupata maneno yaliyozoeleka katika Kiswahili ili kuelezea dhana fulani fulani. Hii haimaanishi kuwa Kiswahili hakina maneno hayo, la hasha! Isipokuwa kutumia maneno hayo kunaweza kuwapoteza wengi na kutoeleweka kirahisi….

Arsenal, Azam zimeweza, sasa zamu ya Taifa Stars

Jumapili Agosti 3, mwaka huu, ilikuwa ni siku ya kuvunja rekodi na pengine kumaliza ubishi uliodumu kwa muda mrefu. Timu ya soka ya Azam maarufu kama Wanalambalamba walibeba Kombe la Kagame bila kupoteza mchezo.  Kadhalika, bila kuruhusu bao hata moja…

Ripoti iliyomng’oa Dk. Slaa yavuja

Ripoti ya utafiti iliyokabidhiwa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayomtaja Dk. Willibrod Slaa, kama mwanasiasa mwenye mvuto miongoni mwa wapinzani anayestahili kuwania urais kupitia Ukawa, hatimaye imepatikana; JAMHURI linathibitisha. Kutupwa kwa ripoti hiyo kunatajwa kuwa ndiyo chachu iliyomfanya…

Sumbawanga yanuka ufisadi

Vigogo wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga wamedaiwa kutengeneza vitabu bandia vya kukusanyia mapato ya ushuru na leseni za  uvuvi kwa wafanyabiashara wa samaki katika Ziwa Rukwa, JAMHURI inaripoti.  Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba vitabu hivyo vimetengenezwa na baadhi…

Lowassa si sawa na Mrema

Hiki ni kipindi cha Uchaguzi Mkuu. Oktoba 25, wananchi watakwenda kwenye vituo vya kupigia kura. Wananchi watakuwa na jukumu la kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wake (mgombea mwenza). Kwa Wazanzibari, mbali na Rais na Makamu…

Lowassa: Anayejua Richmond Kikwete

.Wasaidizi wake wasema “Mzee sasa ana amani” NA WAANDISHI WETU Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni. Lowassa anasema,…