JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tujiandae kujenga jela mpya

Nimewahi kuandika kwenye safu hii kuhusu hitilafu ambazo nimeziona kwenye Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015. Zipo taarifa kuwa sheria hii sasa itaanza kutumika Septemba mosi, mwaka huu. Kama unayo hofu niliyonayo mimi utakubaliana nami kuwa wapo watu wengi wataathirika…

Ikitokea umekufa leo, biashara zako unaziachaje?

Nianze kwa habari njema. Nimeandika kitabu cha pili kiitwacho ‘Kufanikiwa ni haki yako.’ Ni kitabu ambacho kimebeba maarifa, visa vya kusisimua na mikasa kuhusu safari za maisha ya mafanikio ya watu mbalimbali waliofanikiwa duniani.  Kwa mfano, katika kitabu hiki ninakuletea…

Makocha hawa Wazungu kunogesha Ligi Kuu Bara

Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom nchini linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 22, mwaka huu kwa mechi ya Ngao ya Hisani kati ya Azam na Yanga, na Septemba 12 ndiyo mechi za msimu wa Ligi 2015/2016 zitaanza rasmi. Mabadiliko mengi yamefanyika…

Majimbo 130 ya Ukawa haya hapa

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), imetamba kuwa na uhakika wa kuunda Serikali zijazo kwa kupata wabunge zaidi ya 130 kati ya 264 ya Tanzania nzima. Hayo yamethibitishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Nani amemuua bosi huyu Polisi?

Maswali mengi yameibuka kuhusu kifo cha Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Ujambazi Mkoa wa Morogoro, Mrakibu wa Polisi (ASP), Elibariki Pallangyo (53). JAMHURI imedokezwa kwamba kifo cha bosi huyo kimezua maswali mengi kutokana na mazingira ya namna…

Vigogo Sumbawanga wakusanya vitabu ‘feki’

Vigogo wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wanaodaiwa kutengeneza vitabu bandia vya kukusanyia mapato ya ushuru na leseni za  uvuvi wa samaki katika ziwa Rukwa wameanza kuviondoa katika mzunguko. Wiki iliyopita gazeti la JAMHURI liliripoti habari ya uchunguzi…