JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Lowassa Rais kabla ya kuchaguliwa

Binadamu tumeumbwa katika hali ya ajabu sana, ambayo kadiri mtu anavyokuwa katika nafasi fulani ya juu – iwe ni madaraka, elimu, siasa na  wakati mwingine hata umri – ni nadra kusikiliza  ushauri unaotolewa na mtu au kundi jingine ambalo  liko…

Polisi na hofu ya anguko CCM

Wiki iliyopita, kwa ufupi sana nilieleza kwamba mtaji mkubwa wa ushindi wa kishindo kwa vyama tawala katika baadhi ya mataifa yasiyotaka demokrasia ya kweli ni rushwa, ujinga na umaskini wa wananchi. Nilieleza pia mtaji mwingine wa watawala hao waliojihakikishia kwamba…

Ndoto ya barabara ya Kusini yakamilika

Tangu zamani umekuwapo usemi kuwa: “Hayawi, hayawi, yamekuwa!” Ni usemi maarufu unaonesha msisimko wa watu pale tukio au mgeni waliyemsubiri kwa muda mrefu hatimaye anawasili. Mara tu anapowasili, wangojeaji wale kwa pamoja wanafurahi, wanashukuru na ndipo usemi huo wa “hayawi…

CCM wa kweli wakiri hili

Wale wa rika langu, ama wamezaliwa, au wamelelewa na sasa wanaelekea kuzeeka ndani ya malezi yenye misingi iliyojengwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Watanzania wengi waliozaliwa kabla ya mwaka 1992 wanaijua CCM, na kwa kweli hawana namna ya kukwepa kuizungumza,…

Yah: Uhuru wa kuamua kutokana na maslahi au matakwa binafsi

Kweli nimeamini kama hawa Watanzania wakipata ufunuo wa kutumia demokrasia yao ya kutoa uamuzi, basi wanaitumia kama ipasavyo. Leo wanaweza wakaamua kitu kutokana na mazingira na kesho wakabadilika kutokana na mazingira shirikishi, hii ndiyo demokrasia iliyopo sasa bila kujali kama…

‘Tuchagulieni kiongozi safi’

Wiki iliyopita nilizungumzia juu ya maana na sababu za kutaka mabadiliko. Hivi sasa Watanzania na hasa vijana wanataka sana mabadiliko na huku wakinukuu sehemu tu ya hotuba ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyoitoa kwa wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu…