JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kampeni zimeanza, tusimuige Mkapa

Mwishoni mwa wiki nimeshuhudia jambo kubwa. Jambo lenyewe ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujiengua kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Amejiunga UKAWA kupitia NCCR-Mageuzi. Sumaye wakati anahama amerejea aliyosema Profesa Mark…

Tunataka kampeni za kujibu hoja si matusi

Vyama vya siasa vilivyokamilisha vigezo vilivyowe kwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kupata kibali rasmi cha kuanza kampeni za kunadi sera za vyama vyao ili kuwashawishi wapiga kura kuwachagua viongozi na vyama wavipendavyo katika uchaguzi mkuu unaotajiwa…

IGP Ernest Mangu; Kampeni zinaanza, hatutaki mabomu

Namshukuru Mungu kuniamsha salama na mwenye akili timamu. Waraka wangu wa leo unamlenga moja kwa moja Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP), Ernest Mangu. Nia yangu hasa ni kuonya na kukemea tabia ya baadhi ya viongozi wa jeshi…

Yaongelewe masuala, wasiongelewe watu

Mimi nimefarijika sana na ninamshukuru Mungu kuona Makala zangu zinavyosomwa na watu na zinavyotoa changamoto miongoni mwa wasomaji.  Nimekuwa nikiandika makala katika magazeti mbalimbali na kwa hivi karibuni katika gazeti la JAMHURI. Kutokana na makala hizo nimekuwa nikipokea meseji nyingi…

Bomu la ajira kwa vijana linaitesa CCM

Miaka mitano iliyopita Rais wangu, Dk. Jakaya Kikwete, wakati akijinadi na kuomba kura kutoka kwa wapigakura, aliahidi mambo mengi kwa Watanzania. Kwa siku ya leo nitagusa ahadi moja tu ambayo ni changamoto kubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi, na…

JK ukumbukwe kwa lipi?

Kila kiongozi katika nchi yoyote ile duniani – iwe inafuata utawala wa kidemokrasia au wa mabavu – anapoondoka madarakani anakuwa na historia ya kukumbukwa kwa vyovyote vile kwa mabaya au mema aliyowatendea watu wake. Hapa si kwa viongozi wakuu wa…