JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wapigakura tujifunze kwa mashabiki wa soka

Tanzania hatujawahi kushuhudia kumangamanga ndani ya medani ya siasa kama wakati huu. Nasita kutamka kuwa wote wanaomangamanga ni wanafiki wa kisiasa, lakini ukweli ni huo kwa baadhi yao. Kigeugeu nje ya siasa hawezi kuathiri majaliwa ya watu wengi, lakini anaposhika…

Biashara za ‘Kidijitali’

Mwezi uliopita nilizindua kitabu changu kipya kiitwacho ‘MAFANIKIO NI HAKI YAKO’ ambacho kinauzwa kwa njia ya mtandao. Jambo kubwa nililolifanya kutokana na kitabu hiki ni kuandaa mfumo unaoendelea kumsaidia mtu anayenunua kitabu hiki kuyaweka katika vitendo yale atakayoyasoma na kujifunza…

Hivi Buffon na Kaseja nani mzee?

Soka la Tanzania kwa sehemu kubwa linaharibiwa na midomo ya mashabiki na ulegevu wa wachezaji. Mashabiki wanaweza kumsakama mchezaji kwa kumzomea au kumzeesha na kumtangazia kuwa “amechuja” mpaka anapotea kwenye ramani ya soka. Mashabiki na wadau wengine wa soka huwa…

Mbowe: Hawachomoki

Mwezi mmoja wa kampeni, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetamba kuwa utashinda Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 25, mwaka huu. Ukawa wanaowakilishwa na mgombea urais kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, wanasema Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Waathirika Operesheni Tokomeza waibuka

Kiongozi wa Kamati ya Wafugaji kutoka Kijiji cha Lumbe, Kata ya Ukumbisiganga, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, amepiga kambi jijini Dar es Salaam akililia fidia ya ng’ombe 2,537 waliopotea kwenye ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’ iliyofanyika Oktoba 2013. Wakati wenzake wakirudi nyumbani,…

Bodi ya Kahawa kwafuka Moshi

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Adolf Kumburu, anachunguzwa na vyombo mbalimbali vya uchunguzi kuhusiana na madai ya matumizi mabaya ya ofisi ya umma. Kiini cha uchunguzi huo ni zabuni ya kuhuisha ya mashine ya mnada (upgrading) ambayo…