JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Athari za Shirikisho la Afrika Mashariki (2)

Uchambuzi wa Mkali, wiki iliyopita ulikomea akisema kwamba Uhuru wa wananchi kuishi popote kwenye Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC) unatakiwa uwe, kwa lugha ya kiingereza wanasema, “reciprocal”, kwa maana ya raia kutoka nchi wanachama wanakuwa huru kuhamia Tanzania, kwa sababu…

Tafiti zetu, wasomi wetu

Tafiti zilizofanywa na taasisi mbalimbali siku chache zilizopita kuhusu kukubalika kwa wagombea wa nafasi ya Rais zinaonesha Tanzania imejaa baadhi ya wasomi “wapuuzi”. Hii ni kutokana na kuweweseka kwa chama kinachotakiwa kuondoka madarakani na kupisha fikra mpya kutawala na kuleta…

Nionavyo Tanzania baada ya uchaguzi

Tanzania ni miongoni mwa nchi duniani zenye utaratibu wa kufanya uchaguzi kila baada ya kipindi cha miaka mitano ya buongozi. Kuna na demokrasia iliyozoeleka. Ni ya kupokezana vijiti. Kutokana na utaratibu huo uliowekwa na waasisi wa taifa hili, wananchi ambao…

Yah: Bebabeba ya mashabiki na hatima ya kukubali matokeo

Kwanza nianze kwa kuwapongeza viongozi wote ambao mmekuwa mkishiriki katika dakika hizi za lala salama za uchaguzi mkuu ujao ambao utatuletea serikali mpya siku chache zijazo, nasema siku chache zijazo kwa maana ya Oktoba. Katika mvutano huu kuna kila aina…

Kauli yako leo, umbo la kesho

Watanzania hivi sasa wamo katika hekaheka ya kuwasikiliza wagombea urais, ubunge na udiwani wakinadi Ilani na sera za vyama vyao vya siasa na kuweka ahadi ya mambo watakayofanya pindi wapatapo ridhaa ya kuongoza nchi, kutoka kwa Watanzania. Hekaheka hizo zinaendeshwa…

Amani ndiyo kipaumbele namba moja

Katika mazingira ya siasa tunayoshuhudia sasa, upo uwezekano kuwa hatuelekei kuzuri. Hata bila kutafuta wapiga ramli kutabiri yakakayojiri baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba tafakari ndogo inaashiria uwezekano wa kuvunjika kwa amani. Matamshi ya wahasimu wakubwa wa kisiasa, ikiwa…