JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa Uchaguzi huru, wa amani

Watanzania na walimwengu wiki hii wanafanya kumbukizi ya miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ni muda mrefu tangu alipofariki dunia, lakini bado wapenda amani na maendeleo wanaendelea kumkumbuka na kumuenzi. Kumbukizi ya mwaka huu,…

Mabadiliko ya Mwalimu Nyerere yanapotoshwa

Kesho ni Oktoba 14, Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini, watakutana iwe katika ibada maalum, kumbukizi au katika mazungumzo ya kumkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyefariki dunia tarehe kama hiyo mwaka 1999. Tarehe hiyo, Watanzania walipata mfadhaiko mkubwa…

Tabia ya utu ya Mwalimu Nyerere

Tunaingia mwaka wa 16 bila ya kuwa na Mwalimu Nyerere. Oktoba, 14; Jumatano, 2015 siyo muda mfupi, lakini nchi hii bado inamkumbuka sana Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu, roho ya mzee wetu ipumzike kwa…

Mzee Abdallah: Sherehe za kwanza CCM zilikuwa chungu kwa Nyerere

Wakati Taifa likifikisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, watu mbalimbali wanaendelea kumkumbuka Rais huyo wa kwanza na muasisi wa Taifa letu, kulingana na kila mmoja alivyomjua. Lakini mengi ya yanayotajwa kwa Nyerere ni…

NEC, Polisi, CCM hawaaminiki

Katika makala zangu zilizopita, nilieleza kwa kina jinsi vyama vinavyokaa madaraka kwa muda mrefu katika nchi za Kiafrika, vilivyojizatiti kuhakikisha kwa gharama yoyote ile vinaendelea kuongoza hata kwa njia zisizokuwa za kidemokrasia.  Nilitaja mitaji mikubwa ya vyama hivyo vikongwe vinavyojihakikishia…

Kwaheri Mtikila, kwaheri mpiganaji

Oktoba 4, mwaka huu, saa mbili asubuhi nikiwa nyumbani nilipigiwa simu. Nilipopokea simu ile iliyonifahamisha kuhusu kifo cha Mchungaji Mtikila, nilidhani kuwa ni utani kutoka na mtoa taarifa na jinsi alivyowasilisha msiba huo.  Kutokana na jinsi tulivyozeana na uwasilishwaji wake…