JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hatuwezi kushinda vita dhidi ya ujangili kwa operesheni

Vita dhidi ya ujangili ni kama mapambano mengine ya binadamu katika kujihakikishia usalama. Tofauti tu ni kwamba katika vita dhidi ya ujangili wanaolindwa ni wanyama na makazi yao, badala ya binadamu na mali zake.  Vivyo hivyo, kama ambavyo mtu hawezi…

Dk. Dau: Tanzania itacheza Kombe la Dunia mwaka 2026

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linajenga Kituo cha Michezo katika eneo la Kigamboni, Dar es Salaam; huku likisema lengo kuu ni kuhakikisha Tanzania inashiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani…

Kingunge atoa siri za Nyerere

Wakati Tanzania na dunia nzima inaadhimisha miaka 16 bila ya kuwa mwasisi wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, ametoa siri za hisia za siasa za Baba wa Taifa. Kingunge, ambaye amehudumu nchini kuanzia chama TANU…

Ndani ya Dk. Magufuli namuona Mwl Nyerere

Nimepata muda wa kukaa na Dk. John Magufuli, kwa nyakati mbalimbali tangu akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi hadi sasa anapowania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwanasiasa huyu anayepewa nafasi kubwa ya kushinda kiti cha urais, ni mfuasi mzuri…

Polisi wapozwa kwa posho nono

Baada ya kilio cha muda mrefu kuhusu kulipwa ujira unaoendana na mazingira magumu ya kazi zao, hatimaye Serikali imetimiza kile kilichokuwa kikipigiwa kelele na wabunge kuhusu kuwalipa askari polisi posho ya kujikimu, JAMHURI imebaini. Askari wa jeshi hilo, mwishoni wa…

NEC haina mamlaka kumtangaza aliyeshindwa

Leo (Jumamosi Oktoba 10) naandika makala hii ikiwa zimesalia siku 15 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba 25, siku ya Jumapili. Kanisa Katoliki tayari limetangaza kuwa ibada ya Jumapili kwa baadhi ya majimbo itafanyika Jumamosi ya Oktoba…