JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tumefunga mkataba wa mabadiliko

Juzi Jumapili Oktoba 25, mwaka huu, Watanzania tulifunga mkataba wa mabadiliko kati yetu (wapigakura) na wagombea uongozi nchini (madiwani, wabunge na rais) kutuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo; 2015-2020. Mkataba huo muhimu unabeba dhana ya mabadiliko yenye kusudio la…

Watanzania na utii wa sheria

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, aliwahi kusema: “Asilimia 98 ya Watanzania hawaheshimu sheria.” Alinukuliwa na mojawapo ya vyombo vya habari. Ukitafakari matamshi haya kwa haraka haraka unaweza kusema kuwa ni taarifa ambayo haishabihiani…

Soko linahitaji misuli kupambana

Nimekuwa nikipata mgogoro wa ndani kila ninapohudhuria promosheni za bidhaa mbalimbali, ninaposoma ama kutazama matangazo ya kibiashara katika vyombo mbalimbali vya habari na vile vinavyotumika kimatangazo. Kwenye nyingi ya bidhaa, promosheni ama matangazo hayo huwa ninakutana na taswira pamoja na…

Maskini Jose Mourinho!

Kama yalivyomkuta Tim Sherwood wa Aston Villa kwa kutimuliwa, hatari zaidi inamnyemelea Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, ambaye tangu kuanza kwa msimu huu amekumbwa na balaa la matokeo mabaya katika michezo ya Ligi Kuu England (EPL). Aston Villa wao hawajachelewa…

Kivumbi

Hayawi, hayawi hatimaye yamekuwa. Wiki hii ndiyo ya mwisho kwa tambo, vijembe na kila aina ya mbwembwe za wagombea na vyama vya siasa vinavyoshindana kushika mamlaka ya kuongoza dola. Wakati hii ikiwa ni lala salama, nafasi kubwa ya ushindani ipo…

Kwaheri Deo, Lowassa kukamilisha historia!

Usiku wa Alhamisi ya Oktoba 15, nikiwa jijini Mwanza nilipata taarifa za ajali ya helikopta. Taarifa hizi mwanzo zilitaja viongozi wanne waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa walikuwamo. Moyo wangu ulikwenda mbio. Nilimtafuta mmoja wa viongozi wa juu wa…