JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kikwete na uteuzi dakika za mwisho

Rais Jakaya Kikwete, wiki ijayo atakuwa ameingia kwenye orodha ya marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kiongozi aliyechaguliwa mara mbili, na kufanikiwa kumaliza kipindi chake cha miaka 10 salama, si busara sana kuendelea kumjadili au kumkosoa. Watu…

Yah: Apa utatekeleza ahadi zangu ndani ya miaka mitano

Jamani, maisha yanaendelea baada ya uchaguzi. Tanzania imekuwa nchi ya kuangaliwa na mataifa mengi duniani hasa kutokana na sifa kubwa ya kuwa kisiwa cha amani. Tanzania inatazamwa na wenye dhamira mbaya ya kutaka tuingie katika machafuko ili waweze kuchota kilicho…

Tumefunga mkataba wa mabadiliko

Juzi Jumapili Oktoba 25, mwaka huu, Watanzania tulifunga mkataba wa mabadiliko kati yetu (wapigakura) na wagombea uongozi nchini (madiwani, wabunge na rais) kutuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo; 2015-2020. Mkataba huo muhimu unabeba dhana ya mabadiliko yenye kusudio la…

Watanzania na utii wa sheria

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, aliwahi kusema: “Asilimia 98 ya Watanzania hawaheshimu sheria.” Alinukuliwa na mojawapo ya vyombo vya habari. Ukitafakari matamshi haya kwa haraka haraka unaweza kusema kuwa ni taarifa ambayo haishabihiani…

Soko linahitaji misuli kupambana

Nimekuwa nikipata mgogoro wa ndani kila ninapohudhuria promosheni za bidhaa mbalimbali, ninaposoma ama kutazama matangazo ya kibiashara katika vyombo mbalimbali vya habari na vile vinavyotumika kimatangazo. Kwenye nyingi ya bidhaa, promosheni ama matangazo hayo huwa ninakutana na taswira pamoja na…

Maskini Jose Mourinho!

Kama yalivyomkuta Tim Sherwood wa Aston Villa kwa kutimuliwa, hatari zaidi inamnyemelea Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, ambaye tangu kuanza kwa msimu huu amekumbwa na balaa la matokeo mabaya katika michezo ya Ligi Kuu England (EPL). Aston Villa wao hawajachelewa…