JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Barua ya kiuchumi kwa Magufuli

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, nakusalimu kwa salamu za heshima. Salamu hizi zinakujia kutoka kwangu mwananchi mwaminifu kwa nchi yangu ambaye nimeamua kukupa mkono wa shirika katika eneo la kuujenga uchumi. Baada ya…

Soka letu na hekima ya Maguri Taifa Stars

Unapozungumza suala la soka hapa nchini kwa wiki hii bila kuitaja timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), bado unakuwa hujaeleza kile kilichotawala vichwa vya wanamichezo. Pamoja kipigo cha Taifa Stars cha mabao 7-0 bado kuna hekima ya kujifunza kutoka…

Rais Magufuli ‘atua’ Bandari

Kasi ya utendaji kazi ya Rais John Magufuli, imefanikisha kuanza kufungwa kwa mita 12 za kupimia mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Rais Magufuli, baada ya kufanya ziara ya kushitukiza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), mashine za MRI…

Lowassa, Maalim Seif waitesa CCM

Wagombea wa urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Maalim Seif Sharif Hamad kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wameikaba koo Serikali. Licha ya vikao kadhaa na viongozi…

TBS yafunga kiwanda cha KCL Moshi

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) mkoani Kilimanjaro limekifungia kiwanda cha kusindika maziwa cha Kilimanjaro Creameries Ltd (KCL) kilichopo Sanya Juu baada ya kubainika kutumia namba feki za ubora za shirika hilo kinyume cha Sheria ya Viwango ya mwaka 2009. Uchunguzi…

Walinda ‘wauaji’ Moshi washitakiwa kwa Rais

Rais Dk. John Magufuli, ameombwa aingilie kati sakata la mauji ya meneja wa baa ya Mo-Town ya mjini Moshi, James John aliyeuawa kikatili na wafanyabiashara wanne ndugu ambao hadi sasa wanatamba mitaani. John aliuawa Juni 9, 2009 katika kijiji cha…