JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tunajaribu kutabiri yasiyotabirika

Baada ya uchaguzi wa Rais John Magufuli, mada iliyotawala mazungumzo maeneo mengi ya Tanzania ilikuwa nani atateuliwa kuwa Waziri Mkuu. Juma lililopita nilikaa kwenye mazungumzo ya aina hiyo na wanakijiji wenzangu na majina mengi yalitajwa. Majina mengi hayakupewa nafasi hata…

Hati ya nyumba yako inapoharibika au kuchakaa

Hati kwa maana ya hapa ni hati za nyumba na viwanja, kwa ufupi ni hati za ardhi. Kwa kuwa hati ni karatasi sawa na karatasi nyingine basi huweza kuharibka au kuchakaa. Huweza kuchakaa kwa sababu mbalimbali za kibinadamu. Inaweza kunyeshewa…

Barua ya kiuchumi kwa Magufuli

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, nakusalimu kwa salamu za heshima. Salamu hizi zinakujia kutoka kwangu mwananchi mwaminifu kwa nchi yangu ambaye nimeamua kukupa mkono wa shirika katika eneo la kuujenga uchumi. Baada ya…

Soka letu na hekima ya Maguri Taifa Stars

Unapozungumza suala la soka hapa nchini kwa wiki hii bila kuitaja timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), bado unakuwa hujaeleza kile kilichotawala vichwa vya wanamichezo. Pamoja kipigo cha Taifa Stars cha mabao 7-0 bado kuna hekima ya kujifunza kutoka…

Rais Magufuli ‘atua’ Bandari

Kasi ya utendaji kazi ya Rais John Magufuli, imefanikisha kuanza kufungwa kwa mita 12 za kupimia mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Rais Magufuli, baada ya kufanya ziara ya kushitukiza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), mashine za MRI…

Lowassa, Maalim Seif waitesa CCM

Wagombea wa urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Maalim Seif Sharif Hamad kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wameikaba koo Serikali. Licha ya vikao kadhaa na viongozi…