JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kukataa mabadiliko ni kukaribisha maangamizi

Uchaguzi Mkuu ulioisha wa 2015 umenipa changamoto ya kutafakari, nikichukulia kwamba Uchaguzi Mkuu ni kwa ajili ya kutafuta uongozi wa nchi, nimetafakari kuhusu uongozi na saratani vitu viwili tofauti ambavyo lakini vinafanywa kufanana hapa nchini kwetu bila kukusudia.  Kwa jinsi…

Wapora rasilimali zetu wanastahili kitanzi tu

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia amani na afya njema. Yote tunayaweza kwa sababu yupo aliye Mkuu kuliko vyote. Ni wajibu wetu kumshukuru na kulihimidi Jina lake Takatifu. Tanzania imejaliwa kuwa na maliasili ya kutosha ya wanyamapori, misitu, samaki,…

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015

Mheshimiwa Spika; Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na…

Machimboni Mirerani kwafukuta

Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Manyara (MAREMA) Tawi la Mirerani, kimepinga taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna wa Madini Tanzania, kikisema itavuruga amani na utulivu katika machimbo ya tanzanite ya Mirerani mkoani humo. MAREMA wamesema: “Chama kimepokea kwa masikitiko makubwa…

Wabunge wawe watumishi kwanza

Katika miaka ya karibuni imezoeleka katika masikio ya Watanzania kuwa majukumu ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni uongozi, kutunga sera na sheria, na kusimamia na kuiwajibisha Serikali. Mara nyingi jukumu la kuwakilisha jimbo au kundi la watu…

Dk. Magufuli, hili lazima nikupashe

Kwanza kabisa nitoe pongezi kwako Dk. John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa  kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na pia Makamu wako, Samia Suluhu Hassan. Pongezi zangu hizi kwa viongozi hawa wakuu nchi ni nzito kutokana na changamoto katika…