JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kuuza ardhi ni kuuza uhuru

Kuuza au kukodisha ardhi ni sawa na kuuza au kukodisha uhuru. Katiba za mataifa ya Afrika zinatakiwa zipige marufuku hizi sera za ufisadi wa kisaliti za uuzaji na uwekaji rehani wa ardhi; kwani ardhi ni mali ya wananchi (si ya…

Bomoabomoa na kibwagizo cha ‘Hapa kazi tu’

Wakati majonzi, vilio na watu kupoteza fahamu kutokana na kubomolewa nyumba zao zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi ya barabara katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam huku kibwagizo cha ‘Hapa Kazi Tu,’ kikinogesha kazi hiyo,…

Siasa za Zanzibar ni za aina yake (2)

Ili kudhihirisha kuwa Zanzibar kuna tofauti za kiitikadi za kihistoria na hasa kati ya Visiwa vya Unguja na Pemba hapa kuna mifano ya matokeo ya chaguzo zilizofanyika Zanzibar tangu 1957 mpaka 2010. Katika uchaguzi wa kwanza 1957 ASP walipata viti…

Tupigane vita hii kwa umoja

Waandishi wa habari hutakiwa wazingatie miiko na maadili ya uandishi wanapofanya kazi zao. Baadhi ya mambo wanayotakiwa kuyazingatia ni kuhakikisha wanatenda haki sawa kwa wanaowaandika. Kwa maneno mengine ni kwamba wanatakiwa watoe fursa ya kusikiliza kila upande unaoguswa kwenye habari…

Yah: Ukisikia ukunga porini jua jiwe limemkuta mkweo

Mwanangu John, sasa  ni mwezi mmoja tangu tulipoachana na ukawa mtu wa Serikali, ule uwezo niliokuwa nao wa kuongea na wewe jioni kibarazani haupo tena, nikitaka kukuona ni lazima nipite mageti saba ya walinzi ambao watajiridhisha na sababu zangu za…

Desemba 9 na usafi wa makazi

Kesho ni Jumatano Desemba 9. Tarehe kama hii mwaka 1961 nchi ya Tanganyika ilipata Uhuru wa bendera baada ya kutawaliwa kwa mabavu kwa kipindi cha miaka ipatayo 77 na wakoloni wa Kijerumani na wa Kiingereza. Kwanza ni Wajerumani waliotawala kwa…