JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mbowe: Hatuwezi kukata tamaa

Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu umeiweka nchi katika historia nzuri na mbaya, kutokana na kuimarika kwa vyama vya siasa vya ushindani huku dosari nyingi zilizojitokeza. Idadi kubwa ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura walijitokeza katika kampeni…

Polisi wahaha kumlinda Diwani Sandali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Dar es Salaam, wamekuwa na kibarua kigumu baada ya kuendelea kulinda nyumba ya diwani mteule wa CCM Kata ya Sandali, Abel Tarimo. Tarimo anaelezwa kuwa hapendwi na wananchi, kitendo kinachowafanya watake kuvamia…

Mke wa Lowassa kutua bungeni

Jina la Regina Lowassa – Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa limo kwenye orodha ndefu ya makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) watakaoteuliwa kuwa wabunge wa Viti Maalumu kwa mujibu wa Katiba ya nchi ya mwaka 1977….

Hongera Dk. John Magufuli

Dk. John Magufuli, wiki hii anaapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaanza kazi ngumu aliyoiomba kwa ridhaa yake mwenyewe, ya kuwatumikia Watanzania wote. Kwenye kampeni zake, Dk. Magufuli, aliomba kura huku akiahidi kuwa…

Yaliyompata Nixon kumrudia Magufuli?

Wakati hekaheka za Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeisha hapa nchini, kwa washindi kupatikana ikiwa ni pamoja na mshindi wa kiti cha urais na chama tawala, nimegundua kwamba kumbe bado tunayo mengi ya kujifunza katika nyanja ya siasa. Nimeliona hilo baada…

Sababu za Ukawa kushindwa uchaguzi

Uchaguzi Mkuu wa tano katika Tanzania ya Vyama vingi umemalizika. Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindwa uchaguzi huu ambao kila mtu (hata mwanachama wa Chama cha Mapinduzi  au CCM) aliamini kuwa Ukawa ungeshinda. Kulikuwa na sababu nyingi zilizowaaminisha wananchi…