JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Magufuli, matumizi ya mkaa ni janga la kitaifa

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema na rehema zake nyingi anazotujalia kila kukicha. Nimshukuru pia Mungu wetu aliye hai kwa kutujalia kumpata Rais wa Jamhuri ya Tanzania anayeonekana kuwa msitari wa mbele kwa kuyajali maslahi ya Watanzania wa mijini…

Mungu huyu wa M-Pesa, tiGO Pesa ananipa shaka

Wizara ya Afya imepiga marufuku matangazo ya waganga wa kienyeji na wale walioboresha neno hilo na kujiita ‘tiba mbadala’. Uamuzi wa Serikali umekuwa kama mtego wa panya – unawakamata waliomo na wasiokuwamo. Si wote wenye kutoa aina hiyo ya tiba…

Yah: Mbio za maendeleo na semi za watawala, watawaliwa

Tuko ukingoni kabisa mwa mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao, mwaka ambao utakuwa na matukio mengi ya kisiasa na maendeleo, nimejitolea kuwa mnajimu kwa sasa hasa kutokana na mazingira ya kisiasa yaliyopo nchini na nje ya nchi yetu hususani…

Kulewa, uchizi ni kinga baada ya kutenda jinai?

Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa siyo kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi…

Magufuli akabidhiwa orodha

Baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kuwataka polisi wamweleze mikakati waliyonayo ya kupambana na wauzaji wa dawa za kulevya ifikapo wiki hii, habari za uhakika zilizolifikia JAMHURI zinasema Rais John Pombe Magufuli tayari amekabidhiwa majina ya wauzaji,…

Kikwete ana siri ya makontena

Rais mstaafu Jakaya Kikwete imeelezwa kuwa anafahamu kilichokuwa kinaendelea katika suala la makontena yaliyopotea bandarini na taarifa za kiuchunguzi zinaonesha alipewa taarifa akazikalia kimya. Vyanzo vya uhakika vimeliambia JAMHURI kuwa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe alibaini upotevu wa…