JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

‘Unga’ wasambaratisha polisi

Wiki moja tu baada ya JAMHURI kuchapisha orodha ya wauzaji na wasafirishaji wa dawa za kulevya, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefanya uhamisho kwa askari wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni na Mkoa wa Tanga. Habari za uhakika…

Profesa Shivji auonavyo uongozi wa Rais Magufuli

Profesa Issa Shivji, hivi karibuni alihojiwa na Kituo cha Televisheni cha Azam, kuhusu siku 50 za uongozi wa Rais John Magufuli. Ufuatao ni mtazamo na ushauri wake kwa Serikali ya Awamu ya Tano   Ni kweli kwamba ni siku 50…

Rafiki yangu Zitto, tunajifunza nini kwa Dk. Kabourou?

Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, awali ya yote naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuwa hai na kuandika makala hii, pili kushuhudia wewe ukiwa Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini, kwani sikutarajia kuwa ipo siku utakuwa mwakilishi wa wananchi wa mji…

Hitler na ndoto za kutawala dunia

Kiongozi wa Chama cha Kisoshalisti kilichojulikana kama ‘NAZI’, Adolf Hitler (1889-1945) alikuwa mmoja wa madikteta dhalimu na wenye nguvu kuwahi kutokea katika karne ya 20.  Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia mbabe huyo aliamka kwa nguvu kupitia chama…

Mfumo wa elimu una kasoro

Tanzania ni moja ya nchi ambazo asilimia kubwa ya vijana wanaohitamu masomo kutoka vyuo mbalimbali vya elimu ya juu na kati, ni wengi ukilinganisha na nafasi za kupata ajira katika fani walizozisomea. Na wengi kutunukiwa vyeti vya stashahada na wengine…

Huduma ya Kwanza: Shambulio la Moyo

Mwathirika wa ajali huhitaji ahudumiwe haraka, tena kwa muda mfupi, huku mipango ikiwa inafanywa hadi atakapotokea daktari au atakapopelekwa zahanati ama hospitali kwa tiba inayostahili…   Shambulio la moyo (heart attack) mara nyingi hufanana na kuzirai kunakompata mwenye msongo wa…