JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Lini atapatikana Samata mwingine

Ahsante Mtanzania Mbwana Samata, nyota wa TP Mazembeya DRC kwa kuchaguliwa kuwa Mwanasoka Bora wa Afrika wa wachezaji wanaokipiga ligi za ndani. Mwaka 2015 umekwisha, mwaka 2016 ndiyo kwanza umeanza na ‘zali’ la Samata, lakini tutapotazama mbele, tuonaona nini? Nani…

Mtoto wa Kova yumo

Sakata la wizi na upotevu wa makontena limechukua sura mpya baada ya vituko kadhaa kujitokeza ikiwamo watuhumiwa ambao ni watoto wa vigogo kupata dhamana kimizengwe. Ukiacha hilo, watendaji walioteuliwa na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Badari, Madeni Kipande kusimamia upakiaji…

Bandari, TRA wanavyohujumu kodi

Serikali ya Rais John Pombe Magufuli inayo kazi ya ziada kudhibiti uvujaji wa mapato, kwani imebainika kuwa waliokabidhiwa kazi ya kukusanya kodi, wamejipanga kuhujumu mapato ya nchi, uchunguzi wa gazeti JAMHURI kwa mwaka mmoja umebaini. Imebainika kuwa makontena yanayoleta sintofahamu…

Maalim Seif abana

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ametajwa kuwanyima usingizi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Taarifa ambazo gazeti hili…

Gari la askari lasafirisha wahamiaji haramu

Polisi mkoani Tanga, wanafanya kila linalowezekana ili gari la askari wa Jeshi hilo lililokamatwa likiwa na wahamiaji haramu 10 liachiwe. Duru zinaonyesha kuwa polisi wamekuwa kwenye msuguano na Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Tanga, wakitaka gari la mwenzao lisiendelee kushikiliwa…

Serikali ya maprofesa, madaktari, mainjini… hatutarajii porojo

Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na uchambuzi ulionigusa kidogo. Nimebaini kuwa Baraza la Mawaziri linaongozwa na Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli (PhD – Chem&Maths), limejaa wasomi. Wasaidizi wake wakuu ni Makamu wa Rais: Samia Suluhu (Msc…