JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Huduma ya Kwanza: Kuumwa na wadudu

Mwathirika wa ajali huhitaji ahudumiwe haraka, tena kwa muda mfupi, huku mipango ikiwa inafanywa hadi atakapotokea daktari au atakapopelekwa zahanati ama hospitali kwa tiba inayostahili…   Kuumwa na Vidudu Miumo ya vidudu huwapa watu wengine madhara makubwa zaidi ya wengine….

‘Wandu makoko’ (2)

Kwa kukazia uanzilishi mzuri wa chombo kile, akiteua mawaziri wawili vijana aliowaamini – Maalim Seif Shariff Hamad (Elimu) na Haji Mlinde (Waziri Ofisi ya Rais, Vikosi vya SMZ) waje bara kuzuru JKT waone shughuli zinavyoendeshwa na vijana. Nia ilikuwa wakirejea…

Wachuuzi wakiachwa hivi hivi ni ‘jeshi hatari’

Juzi nilishiriki mjadala mfupi katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Niliweka picha ya wachuuzi waliovamia eneo la waenda kwa miguu katika eneo la Ubungo, Dar es Salaam. Maudhui ya picha hiyo yalikuwa kuwafikishia taarifa (kana kwamba hawazioni wala hawazijui) viongozi…

Yah: Kitimutimu cha Magufuli na mawaziri wake wa awamu ya tano

Niliposikia malalamiko ya watu kuwa Mheshimiwa Magufuli anachelewa kutaja baraza la mawaziri nilikuwa najiuliza kwani mawaziri ni lazima akurupuke kuwachagua ili serikali iwepo au hao wanaoitwa makatibu wakuu kazi zao ni zipi kama siyo kusimamia wizara zao kiutendaji, na ukweli…

Prof. Ndalichako tumbua jipu NECTA

Ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku katika harakati ya kuijenga nchi yetu. Binafsi  ni buheri wa afya nikijitahidi kuendana na falsafa ya ‘hapa kazi tu’ kukwepa jipu litakalochangia kutumbuliwa. Nikiwa mdogo,…

Samatta aibua wanamichezo

Ushindi wa Mtanzania Mbwana Samatta umewafungua vinywa Watanzania na kutaka kiwekwe kwenye Katiba, kifungu kitakachotambua na kuwaenzi wanamichezo watakaoiletea sifa nchi katika kipindi chao chote cha maisha kama wanavyofanyiwa viongozi wa nchi. Wametaka kifungu hicho kiwatambue wanamichezo hao kwa kuwapatia…