JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali ibadili mbinu ukusanyaji kodi

Kwa muda wa mwezi mmoja tumechapisha habari zinazohusiana na ukusanyaji wa kodi. Tunatambua na tunapenda kupongeza juhudi zilizofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotekeleza kwa ufasaha maelekezo ya Rais John Pombe Magufuli ya…

Afrika inateswa na mkoloni mweusi

Mwasisi wa taaluma ya ‘Public relation Arthur Page’ alipata kuandika haya; “Unaweza kutumia miaka 20 kujenga haiba yako mbele ya jamii lakini sekunde tano tu zinatosha kukiharibu kile ulichokijenga kwa miaka 20’’.  Haiba iliyojengwa na wapigania uhuru wa bara la…

Madeni ya Taifa na mchakato wake

“Ninyi mu wasaliti na wezi; nimekusudia kuwang’oa na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu nitawang’oa. Kama watu wangelikuwa wanajua dhuluma kali iliyopo kwenye mifumo yetu ya kifedha na kibenki, basi kungelikuwa na mapinduzi kabla ya asubuhi.”   Andrew Jackson, Rais wa Marekani;…

Simulizi ya bomoabomoa

Sasa ni mwezi tangu vilio vilipotawala Alhamisi, Desemba 17, 2015 baada ya wakazi wa maeneo ya Jangwani, Dar es Salaam kukumbwa na bomoabomoa, ambako nyumba zaidi ya 100 zilibomolewa katika maeneo ya Bonde la Mkwajuni na Magomeni katika Manispaa ya…

Kabla ya kutuma majeshi Burundi tuangalie Somalia

Mwishoni mwa mwaka jana Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Mahiga, alifanya ziara ya siku moja nchini Burundi ili kuangalia hali ya huko kuhusu vurugu zinazoripotiwa. Aliporudi alieleza kuridhishwa na “hali ya…

Zanzibar koloni la Tanganyika?

Wakati Zanzibar ikikumbwa na mzozo wa kisiasa baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), Jecha Salim Jecha kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana kwa madai ya kuwepo kwa dosari mbalimbali, hali ya mambo imekuwa…