JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali sasa itoe mwongozo elimu bure

Tangu shule zimefunguliwe Januari, mwaka huu na Serikali kuanza kutekeleza sera ya elimu bure darasa la kwanza hadi kidato cha nne, kumetokea mambo mengi.   Tumesikia wakuu wa shule katika maeneo kama Mwanza, Kagera na Kilimanjaro wakifukuzwa kazi kwa kuchangisha…

Polisi wanatumiwa vibaya

Kumekuwa na matukio mbalimbali ambayo Polisi wametumiwa vibaya na Serikali, taasisi na watu wengine. Hali hii imetufikisha mahali ambako ile kauli ya siku nyingi kwamba polisi ni usalama wa raia inaonekana haina maana tena. Tumeshuhudia wakati wote polisi wakizuia maandamano…

SSRA yaisemea mifuko ya jamii

Baada ya Gazeti JAMHURI kuchapisha taarifa za kiuchunguzi za mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kuwa katika hali mbaya kifedha kutokana na deni kubwa linaloikabili kwa Serikali kushindwa kulipa madeni yake, hali inayoifanya baadhi ya mifuko kushindwa kulipa mafao kwa…

Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli Siku ya Sheria Februari 4, 2016

Mheshimiwa Jaji Mkuu, nafikiri utaungana na mimi mara baada ya hotuba hizi ambazo zilitangulia inawezekana ikaniwia vigumu sana kutafuta maneno mengine ya kuweza kuzungumza. Lakini niseme tu kwa dhati Mheshimiwa Jaji Mkuu, nimefurahi sana kunikaribisha, ili nije nishiriki na ninyi…

Sokwe hatarini kutoweka (2)

Katika kikao cha Desemba 17-18, 2016 mjini Mpanda, Mkuu wa Mkoa Katavi alipiga marufuku ukataji miti katika maeneo muhimu kwa maisha ya Sokwemtu. Binafsi nakubaliana na msimamo huo na kuunga mkono kwa asilimia mia moja amri halali ya Mkuu wa…

Mabepari wakutana Uswisi kupanga mikakati

Mkutano wa matajiri wakubwa duniani ulifanyika mjini Davos katika milima ya Uswisi tarehe 20 hadi 23 Januari mwaka huu. Takriban matajiri 2,500 walishiriki, pamoja na wakuu wa kampuni za kimataifa, wakuu wa serikali na watu mashuhuri. Huu ni mkutano wa…