JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Magufuli katoa suluhisho Zanzibar

Kabla ya Jumamosi iliyopita, hata mimi nilikuwa mtumwa wa mawazo. Nilikubaliana na waliosema Rais John Pombe Magufuli anapaswa kuingilia uchaguzi wa Zanzibar kunusuru hali. Akizungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Rais Magufuli alisema wazi…

Asante Rais Magufuli kutambua wanahabari

Jumamosi iliyopita, Rais John Pombe Magufuli alivisifia vyombo vya habari. Alisema habari zinazotangazwa na vyombo vya habari zinaisaidia mno Serikali kuboresha utendaji wake. Kwa maneno mazito, Rais Magufuli alisema: “Mmetusaidia sana Serikali hii, naomba msichoke. Naomba msichoke. Mnatoa elimu ya…

Siku 100 Wizara mbili zilikuwa wapi?

Majuzi Rais Dk. John Pombe Magufuli alitimiza siku 100 tangu alipoingia madarakani Novemba 5, mwaka jana. Watu wengi wamejitahidi kuchambua utendaji wa Rais Magufuli katika siku hizo 100. Ingawa hawakukosekana watu waliomkosoa, wengi wamesifu utendaji wake katika kipindi hiki. Karibu…

Rais Magufuli na maslahi mapana ya Taifa (1)

Kwa rehema na mapenzi yake Mwenyezi Mungu, Tanzania ilikamilisha Uchaguzi Mkuu tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kumpata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani. Kwa upande mwingine, uchaguzi huo haukwenda vizuri kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi…

Rais Magufuli aimwagia sifa ‘JAMHURI’

Rais John Pombe Magufuli amelipongeza gazeti la JAMHURI na kulitaja kama gazeti mfano wa kuigwa nchini kutokana na habari zake za uchunguzi uliobobea. Akizungumza na wazee wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Rais Magufuli amelipa gazeti la JAMHURI  heshima…

Kesi ya Kova, Nzowa kesho

Kesi inayowahusisha makamishna wawili wa polisi wanaogombea nyumba – Kamishna Suleiman Kova na Kamishna Msaidizi Mwandamizi Godfrey Nzowa inaendelea kesho mahakamani. Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA), Makumba  Kimweri, alipuuza maagizo ya Rais Dk. John Magufuli na kuzalisha mgogoro wa…