JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Madeni ya Taifa na mchakato wake (3)

“Kama ingelikuwa ni baina ya watu wawili binafsi (wanakopeshana fedha), na si kati ya mtu binafsi na benki, basi wasingeliweza kuongeza fedha za kwenye mzunguko wa taifa kwa mkopo, kwa sababu mkopeshaji asingaliweza kukopesha kitu ambacho hana, kama ambavyo mabenki…

Je, Kikwete atafanikiwa mgogoro wa Libya?

Februari mosi, mwaka huu tulitangaziwa kuwa Rais (mstaafu) Jakaya Kikwete, ameteuliwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa mwakilishi wake katika kusuluhisha mgogoro wa Libya. Uteuzi huo ulifanywa mjini Addis Ababa katika kikao cha wakuu wa nchi za Afrika, naye Kikwete…

Kwa hili sote tu wadau (4)

Ilipoishia wiki iliyopita: Upinzani mzuri ni ule unaokosoa huku ukiwa na mpango kamili ya sera mbadala ya maendeleo ya Taifa. Kwa maana hiyo bungeni panakuwa na mawaziri wa Serikali kivuli (shadow government with its shadow Cabinet). Endapo Serikali iliyoko madarakani…

Rais Magufuli angazia mafuta ya mawese

Wiki iliyopita, Rais John Magufuli, alitangaza utaratibu mpya wa uingizaji sukari nchini. Uamuzi huu unalenga kulinda viwanda na ajira kwa Watanzania. Ni uamuzi mzuri kabisa. Baada ya kumsikiliza, na kwa kuwa lengo ni kuwalinda wakulima wetu, ajira kwa vijana na…

Vyombo vya habari tujipime na kujitambua

“….Lakini niwaombe viongozi pia na Watanzania wote. Ninajua mmetupima sisi katika siku 100. Inawezekana mnatuonea pia. Kwamba siku mia moja za Magufuli, siku mia moja za Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, siku mia moja za Mawaziri na kadhalika. Mmesahau nyinyi…

Yah: Utii bila shuruti dhana ngumu Tanzania

Mwaka 1973 hadi 1974 tuliamrishwa tuishi pamoja katika Vijiji vya Ujamaa, lengo likiwa ni kusogeza huduma za jamii kama zahanati, shule, maji na maendeleo kwa ujumla wake, karibu kwa wananchi wote. Lilikuwa jambo gumu kukubaliana hasa ukizingatia kuwa uwezo wetu…