JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Makalla amaliza kilio Lokolova

Serikali mkoani Kilimanjaro imekabidhi ekari 2,470 kwa Chama cha Ushirika cha Wakulima na Wafugaji Lokolova. Hatua hiyo imefuta mpango wa awali wa Serikali wa kulifanya eneo hilo la ardhi litumike kujenga soko la nafaka la kimataifa na mji wa viwanda….

Tume ya maridhiano muhimu Zanzibar

Leo ni Jumanne. Ni February 23, 2016. Zimebakia wiki 4 na siku 4 Zanzibar kufanya uchaguzi wa marudio. Wiki iliyopita niliandika kueleza jinsi nilivyomwelewa Rais John Mafuguli baada ya ufafanuzi wake wa kisheria juu ya msimamo wake wa kutoingilia Tume…

Vifungu vya Katiba vinavyochefua

Kwa muda mrefu katika Tanzania yetu, viongozi wengi wameyaangalia magazeti kama vyombo vya uzushi na uchochezi. Mtu mmoja atashauri suala fulani lililoandikwa gazetini lifuatiliwe. Lakini kiongozi atasema kwamba suala hilo lisifuatiliwe kwa kuwa hayo ni mambo ya magazetini yasiyo na…

Magufuli na uchaguzi wa Zanzibar wapi na wapi?

Kuna maneno yanayosemwa kwamba Rais John Pombe Magufuli anapaswa kuingilia kati sakata la Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliovurugika na kutakiwa kurudiwa tena. Tayari Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeishatangaza tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi huo. Kwa hapa nataka nilijadili…

Naomba kazi uhamiaji

Katika nchi ambazo najivunia kuzifahamu na kuishi maishani mwangu ni Tanzania. Naipenda nchi yangu kutokana na kila kilichomo ikiwa ni pamoja na baadhi ya viongozi wake. Kwa siku ya leo nitakumbushia andiko langu la mwaka mmoja uliopita ambalo niliwahi kumwandikia…

Mwenyekiti alivyoitafuna Halmashauri Ukerewe

Dhana ya kupambana na ufisadi inahitaji jicho la ziada kutokana na watumishi wa umma kutumia fursa wanazopata kujineemesha nje ya utaratibu rasmi wa kiserikali, uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI, umebaini. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe imeingia katika mgogoro mkubwa, baada…