JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mawaziri wanapotafuta suluhisho North Mara

Bila shaka ni jambo la kusubiri na kuona baada ya mawaziri wawili wa Awamu ya Tano kutembelea kwa ziara ya kushtukiza maeneo athirika kutokana na maji yanayodaiwa kuwa na athari kutoka katika mgodi huo. Kabla ya kuitwa ABG, mgodi huo…

Malinzi na mtazamo wa soka la Tanzania

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefanya Mkutano Mkuu katika Hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga. Pamoja na mambo mengine, Rais wa shirikisho hilo, Jamal Malinzi, amezungumza na JAMHURI mambo mengi, lakini kwa leo anazungumzia mtazamo wake wa soka la Tanzania….

Msuya kikaangoni

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu (mstaafu), Cleopa David Msuya ameingia kikaangoni kutokana na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) inayozimiliki Kampuni za Tanzania Distillers Limited (TDL), Darbrew Limited na Tanzania Breweries Limited kuingia katika kashfa ya ukwepaji kodi…

Walioitumbua Ngorongoro waanza kutumbuliwa

Kusimamishwa kazi kwa wahasibu watano na watumishi wengine 15 wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa tuhuma za ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi za Mamlaka hiyo, kunatajwa kuwa hakujamaliza wimbi la ufisadi katika Mamlaka hiyo. JAMHURI imethibitishiwa kuwa kuna…

JamiiForums yawashitaki wasiotaka ufisadi uanikwe

Kampuni ya Jamii Media, inayoendesha mitandao ya JamiiForums.com na FikraPevu.com; hatimaye imeamua kutafuta haki mahakamani dhidi ya kile kinachoonekana kuwa ni matumizi mabaya ya Sheria ya Makosa ya Mtandao yanayolenga kudhoofisha vita dhidi ya ufisadi iliyotangazwa na Serikali ya Awamu…

Serikali iwezeshe wanahabari

Vyombo vya habari nchini vinafanya kazi ya kuibua uozo. Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk. John Magufuli kuwa kila vinapogusa vyombo vya habari inafuatilia na kubaini kuwa kuna uozo. Vyombo vya habari kwa muda mrefu vimekuwa…