JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukweli kuhusu Mwiba Holdings (1)

Naanza kuona nuru ya uhuru wetu na heshima vikirejea kupitia Serikali hii ya Awamu ya Tano. Ni dhahiri kuwa nchi imerudi mikononi mwa viongozi wazalendo ambao hawatishiwi nyau wala kupokea amri kutoka Marekani. Ile kinga waliyopewa wageni kuvunja sheria za…

Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa (3)

Sasa hapo mnaona jibu la lile swali kwa nini Wakil alijiondoa? Ndiyo sababu hakusimama mhula wa pili, aliona heri astaafu kwa heshima na ampishe Mzanzibari mwingine kuongoza chombo hiki huko Visiwani.  Baada ya Uchaguzi ule 1985-1990 huko Pemba kulitokea vitimbwi…

Hatutaendelea kwa kulalama

Makala iliyopita nilijadili namna uvivu, udokozi, na udhuru vinavyotukwamisha Watanzania wengi. Nikasema hizo ni miongoni mwa sababu chache, kati ya nyingi zinazowafanya baadhi ya waajiri nchini mwetu waamue kuajiri wageni bila kujali maumivu ya kiwango cha mishahara na malipo mengine…

Yah: Rais Dk. Magufuli na masharti ya maendeleo

Nilipokuwa mdogo, kuna wakati nilimsikia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, akituhutubia. Naikumbuka hotuba yake yote, hebu tuikumbuke na wenzetu halafu tutafanya majumuisho tuone  je, inapaswa kuigwa? Alisema: “Kila mwananchi anataka maendeleo; lakini si kila mwananchi anaelewa na kukubali masharti…

Si chochote, ni chochote

Wake wenza wawili waliishi katika makazi tofauti na mume wao katika mji mmoja. Kila mmoja alijitahidi kumtunza mume na kumuweka katika maisha ya furaha, upendo na utulivu pasi na mwenzake kujua mapenzi anayepewa mume. Mke mkubwa na mke mdogo kila…

Jipu ni jipu tu hata liwe wapi

Waswahili wanasema kwamba ukimwona mwenzio ananyolewa, usilete maneno isipokuwa anza kutia maji kwenye nywele zako na kukaa mkao wa kunyolewa. Hayo ndiyo yaliyojiri Ijumaa ya Machi 4, mwaka huu kwa Balozi Ombeni Yohana Sefue, aliyekuwa akishangilia wakati wenzake wakinyolewa, naye…