JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Utata waliofia mgodini TanzaniteOne

Usiri mkubwa unaendelea kufanywa na wamiliki wa mgodi wa TanzaniteOne mkoani Manyara, baada ya kubainika kufukiwa kwa watu watatu; watumishi wa mgodi huo. Watu hao walifukiwa kwa kile kinachoelezwa kwamba walishukiwa kuwa ni wavamizi walioingia mgodini kujitwalia madini ya tanzanite….

TBL wakwepa kodi hadi Uingereza

Kwa muda wa wiki sita tumekuwa tukikuletea mwedelezo wa taarifa jinsi kampuni ya SABmiller inayomiliki Kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL) inavyotumia udhaifu wa kisheria kutolipa kodi sahihi. Ifuatayo ni taarifa ya utafiti uliofanywa na Kampuni ya Uingereza iitwayo ActionAid…

Hifadhi ya Taifa Serengeti inakufa

Hifadhi ya Taifa Serengeti, iliyowavuta maelfu kwa maelfu ya wageni kutoka ndani na nje ya nchi yetu, inakufa. Tofauti na wengi wanavyodhani, athari za ujangili Serengeti si kubwa wala tishio kwa uhai wake, isipokuwa kinachoiua Serengeti ni siasa na wanasiasa!…

Mazuri ya Cuba yasiyosemwa

Machi 21 na 22 mwaka huu, Rais Barack Obama wa Marekani alifanya ziara ya kihistoria nchini Cuba. Ya kihistoria kwa sababu hii ilikuwa ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani nchini Cuba tangu miaka 88 iliyopita. Mara ya mwisho ilikuwa…

JKN na JPM wanalingana?

Nimekuwa nikisikia, nimesoma katika magazeti na hatimaye ninajiuliza hivi ni kweli viongozi hawa wanalingana? Ulinganisho mara nyingi unakuwa kwa vitu vya aina moja. Katika ulinganisho kuna vigezo vinavyokubalika. Inapokuja kulinganisha utawala wa viongozi mbalimbali hapo kunatakiwa uangalifu wa hali ya…

Yah: Kuna viongozi wanayabananga kwa hofu ya ‘hapa kazi tu’

Nianze kwa kuwapongeza wale wote waliomwelewa Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli, kwamba anataka watu wasibweteke wafanye kazi, na kufanya kazi siyo lazima uonekane kwa kukemea kila kitu hata ambacho hukijui. Hii dharura iliyojitokeza ya kukurupuka kutoka usingizini kwa baadhi ya…