JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tufunge mlango wa misaada – 2

Wiki iliyopita sikuandika katika safu hii. Kwenye tanbihi, nilieleza kuwa ilikuwa nashughulikia habari nzito inayoendelea kuchapishwa na gazeti hili kuhusu Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kutolipa kodi sahihi. Wiki moja kabla ya wiki iliyopita, ilikuwa nimezungumzia suala la nchi hii…

Tuitazame upya elimu tunayotoa (1)

Kwa muda mrefu nchini Tanzania tumekuwa na Wizara ya Elimu ambayo haikusimamia elimu kwa ufanisi. Badala yake tumekuwa na viongozi watendaji wa wizara hiyo ambao wamekuwa wakiweka mbele maslahi yao binafsi. Wakajipatia asilimia kumi kutoka kwa wachapishaji wa vitabu kwa…

Dhambi hii ya kuiua Serengeti iepukwe

Katika toleo lililopita la gazeti hili, miongoni mwa habari zilizoripotiwa kwa ukubwa wa pekee ilihusu kifo kinachoikabili Hifadhi ya Taifa Serengeti (Senapa). Habari hiyo ilikuwa na picha zilizoonesha makundi ya ng’ombe wakiwa ndani ya Hifadhi; na alama za mipaka zilizo…

Ujanja wa SABmiller mabosi wa TBL

Kampuni ya SABmiller haitafuni kwa bahati mbaya matunda ya kodi pekee kutoka nchi zinazoendelea.  Mikakati yake ya kukwepa kodi ni zaidi ya kawaida, kwani inatumia njia ya kampuni zinazohusiana na kampuni hiyo zilizozoko sehemu mbalimbali duniani. Kadhalika, inatumia Kundi la…

Barua ndefu kwa Rais Dk. John Magufuli

Ustaarabu wetu adhimu wa Kiafrika tuliourithi kutoka kwa wahenga wetu, unatutaka vijana kuwa na heshima na kufanya maamkizi kwa wakubwa. Shikamoo Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Ninakuandikia barua hii nikifahamu pasi shaka yoyote kuwa kamwe hutaishangaa. Kama ujuavyo, uandishi wa…

Wabunge kudai hongo ni matokeo ya mfumo

Hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani wabunge watatu ambao ni wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa kwa mashitaka ya kushawishi na kuomba rushwa ya Sh 30,000,000. Tunaambiwa wakiwa katika hoteli ya kitalii…