JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwanasiasa Mmarekani kuitwa Mjamaa ni sawa na tusi la nguoni

Habari nyingi siku hizi zinahusu vitimbi vya mfanyabiashara tajiri Mmarekani Donald Trump, katika kampeni zake za kuwania kuteuliwa mgombea urais kupitia chama cha Republican katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kwenye kampeni hizo kwa upande wa chama cha Democrat, mwanasiasa…

Mtanziko Chuo cha Mahakama Lushoto

Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kilianzishwa kwa sheria ya Bunge namba 405 ya mwaka 1998. Miongoni mwa majukumu ya chuo ni kutoa mafunzo ya sheria ya ndani na ya kimataifa( local and international training) kama itakavyokuwa imeelekezwa na Baraza…

Madudu ya TFF na neema Yanga, Azam

Zimesalia siku chache kumalizika kwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, ambayo ni mara ya kwanza kushirikisha timu 16. Miaka ya nyuma Ligi hiyo ilikuwa inashirikisha klabu 12 hadi 14 ambapo timu mbili za juu zilikuwa zinaenda kushiriki michuano ya…

Ulaji Bandari ya Dar es Salaam

Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Hebel Mhanga, amenunua gari maalumu lililotengenezwa mahsusi kwa vionjo alivyovitaka yeye kwa gharama ya Sh milioni 500. Kiasi hicho cha fedha kama kingetumika kingelekezwa shuleni, kingeweza kutengeneza madawati 10,000 kwa gharama ya…

Katibu Mkuu asalimu amri

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Mpoki Ulisubisya, hatimaye amesalimu amri na kurejesha gari, mali ya Serikali alilojimilikisha akiwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa, Kanda ya Mbeya. Gari hilo – Toyota…

Jipu Chuo cha Mandela Arusha

Wakati Serikali ya Awamu ya Tano ikisisitiza ubanaji matumizi, Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) ya jijini Arusha, imebainika kukodisha nyumba na kulipa mamilioni ya shilingi kila mwaka bila kuitumia. Nyumba hiyo ipo Kitalu ‘C’ eneo la…