JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Obama aungama ‘makosa’ aliyofanya Libya

Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kwa mara ya kwanza kwamba serikali yake ilishindwa katika uvamizi wa Libya mwaka 2011. Amesema hilo huenda ndilo “kosa kubwa” zaidi alilolitenda wakati wa utawala wake. Obama amesema Marekani haikuwa na mpango mahsusi wa…

Haki za binadamu zisimkwaze Magufuli

Zimeanza kujitokeza lawama kwamba Rais John Pombe Magufuli anakwenda nje ya haki za binadamu katika utendaji wake wa kazi, kwa mtindo wake maarufu wa ‘kutumbua majipu’. Baadhi ya watu wanadai kwamba mtindo huo alioubuni Magufuli wa kutumbua majipu unaonekana kuzikiuka…

Ushirikiano wa TANU na ASP kabla ya 1964 (2)

Ushirikiano kati ya TANU na ASP uliongezaka uchaguzi wa Juni 1961 ulipokaribia. ASP ilifungua ofisi kwenye makao makuu ya TANU mwaka 1961. Thabit Kombo alisafiri Dar es Salaam mara kadhaa Aprili kuhakikisha kwamba ofisi ya ASP inafanya kazi Dar es…

Bado sijaona kosa la Rais Magufuli

Tukisema tunaambiwa mahaba yametuzidi. Tunaambiwa tunyamaze kwa kuwa furaha yetu ni ya muda- bado yuko kwenye honeymoon (fungate). Wapo wanaosema eti hata Jakaya Kikwete, alipoingia madarakani mwaka 2005 tulimshangilia, lakini baadaye ni sisi hao hao tuliogeuka na kuanza kumlaumu kwa…

Yah: Mheshimiwa Rais tunaomba yafanye yafuatayo:

Siku chache zilizopita baada ya kuapishwa, umefanya yale ambayo wengi hatukutarajia kama kweli ungeweza kuthubutu kuyafanya pamoja na kaulimbiu yako ya ‘hapa kazi tu’. Wengi hatukuamini kwa sababu tulijua ni walewale wa kunadi visivyotekelezeka kama ilivyokuwa kwa miaka mingine ya…

Jipu ni istilahi mpya ya kisiasa

Jipu ni uvimbe mkubwa unaotunga usaha. Chanco cha jipu kuota sehemu yoyote ya mwili wa mtu ni bacteria, viumbehai vidogo sana visivyoonekana kwa macho ila kwa hadubini, ambavyo huingia sehemu fulani ya mwili na kuozesha sehemu hiyo baada ya kuwashinda…