JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Kitwanga cheo ni dhamana

Katika kipindi cha mwezi mmoja sasa, Watanzania wameshuhudia sakata la Kampuni ya Lugumi iliyopata tenda Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kutokana na sakata hili kushika kasi, tumeweza kuona jinsi mkataba huo unavyosumbua viongozi wetu kimyakimya, huku Waziri wa…

Waliokula fedha za rada watumbuliwe

Wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne nilijitahidi kuyapigia kelele masuala mbalimbali ya elimu. Lakini hayupo aliyejali lakini hali hiyo haikunikatisha tamaa. Namkumbuka vyema William Wilberforce, yule mbunge wa Bunge la Uingereza. Huyu hakuchoka kupigania Uingereza ipitishe sheria ya kukomesha…

Chuo cha Mandela ni ‘shamba la bibi’

Ufisadi wa kutisha na matumizi mabaya ya madaraka vimebainika kuwapo katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) ya jijini Arusha, JAMHURI inawathibitishia wasomaji. Pamoja na kununuliwa kwa vifaa vya mabilioni ya shilingi ambavyo, ama havitumiki, au vipo…

Waliotafuna mabilioni Moshi wapagawa

Wanachama zaidi ya 300 wa Wazalendo Saccos wanakusudia kuwafikisha mahakamani viongozi wa chama hicho, uongozi wa chuo na taasisi za fedha zilizotoa mikopo kwa tuhuma za ufisadi wa zaidi ya Sh bilioni 6. Wakizungumza na JAMHURI, mwishoni mwa wiki iliyopita,…

Rushwa yavuruga Maliasili Maswa

Uongozi wa Pori la Maswa mkoani Simiyu, unatuhumiwa kupokea fedha kutoka kwa wafugaji na kuruhusu mifugo kuingizwa katika pori hilo. Baadhi ya wafugaji wamelalamika kukamatwa na askari wa wanyamapori, ilhali wakiwa wameshawapa fedha ili wawaruhusu kuingiza na kulisha mifugo ndani…

Jinsi ya kupunguza mianya ya ukwepaji kodi

Katika matoleo yaliyopita, gazeti la JAMHURI limeandika kwa kina taarifa ya uchunguzi juu ya mbinu zinazotumiwa na SABmiller kutolipa kodi sahihi. Katika toleo la leo tunakuletea sehemu ya mwisho ambayo ni ushauri kwa Serikali jinsi inavyoweza kupunguza mianya ya kutolipa kodi sahihi….