JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tujikomboe kutoka kwenye utumwa wa mawazo

Leo natafakari maana isiyo rasmi ya uzungu; maana ambayo hutumika sana kwenye matumizi ya kila siku ya lugha ya Kiswahili. Ni uzungu kama sifa ya kubainisha tabia nzuri ya binadamu miongoni mwa jamii. Siku kadhaa zilizopita, nilisimamisha gari pembeni mwa…

Polisi Oysterbay ilivyouzwa

Mkataba wa utwaaji wa eneo la Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam uliofanywa na kampuni ya Mara Capital kutoka nchini Uganda, unatajwa kuwa miongoni mwa mikataba hatari iliyotekelezwa wakati wa uongozi wa Awamu ya Nne. Mwishoni mwa wiki iliyopita…

Dangote amponza Kairuki TIC

Wakati aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ametajwa kutenguliwa uteuzi wake kwa kukataa kuchukua mshahara wa Serikali kwa miaka mitatu mfululizo, uchunguzi umebaini kuwa jipu la kusamehe kodi Kampuni ya Saruji ya Dangote ndilo lililomwondoa. Uchunguzi uliofanywa na…

ATCL inavyotafunwa

Wiki iliyopita, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, aliwasilisha bungeni Ripoti ya Mwaka ya CAG ya mwaka ulioishia Juni 30, 2015. Kama ilivyo ada, ripoti hiyo imesheheni mambo mengi. JAMHURI inawaletea wasomaji baadhi ya…

Rais Magufuli kaza kamba reli

Sitanii, wiki hii kama kuna jambo limeniburudisha basi ni taarifa hii ya Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa, aliyoitoa Dar es salaam tarehe 25 Aprili, 2016. Na kabla sijafafanua nilichokifurahia, naomba kwa ruhusa yako niinukuu neno kwa neno kama…

TFS anzeni kukamata malori Kwa Musuguri

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) bado una watendaji dhaifu. Wanatakiwa kusimamia sheria ili watumiaji wa mazao ya misitu wazingatie yaliyomo kwenye Sheria ya Misitu Namba 14 ya mwaka 2002 ambayo pia inatambulika kama Sheria ya Misitu Sura Namba…