JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yah: Heshima itarudi, wanaoweweseka ni wale wachache, wezi

Kwanza nianze kwa kupongeza juhudi kubwa inayofanywa na viongozi wachache wenye moyo wa uzalendo na Taifa hili, pili niwapongeze Watanzania wengi ambao mnaunga mkono juhudi hizo pasi na kununuliwa na watu wachache, ambao wao walidhani nchi hii ni yao na…

Wajasiriamali na uwezo wa kupunguza rushwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ziara nchini Uingereza hivi karibuni kuhudhuria mkutano wa viongozi wa dunia kujadili tatizo la rushwa.  Tatizo la rushwa lipo katika kila pembe ya dunia na ni mojawapo ya matatizo ambayo Serikali ya Rais John Magufuli…

Uozo kwa Aveva unamtakatisha Rage Simba

Hakuna asiyefahamu kuwa kwa sasa ndani ya Klabu ya Simba ya Dar es Salaam hali si shwari, kutokana na aina ya matokeo inayoyapata timu hiyo kwa msimu minne sasa. Simba imeshindwa kabisa kupata matokeo mazuri kutoka kwa Rais wa sasa…

Vigogo wagawana Tazara

Vigogo katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), wameuziana nyumba katika utaratibu ambao mmoja wao amenunua nyumba 18. Ofisa Masoko, George Makuke, ambaye kwa sasa amestaafu, amenunua nyumba 18 eneo la Idiga. Ofisa mwingine, Ezekiel Hosea, amenunua nyumba…

Kanisa la Wasabato linapodhulumu …

Mimi Baraka Mukundi, mkazi wa Arusha niliajiriwa na Kanisa la Wasabato Makao Makuu Arusha, Tanzania mwaka 1986. Niliendelea kufanya kazi na kanisa hilo katika vitengo vyake mbalimbali kwa kadri walivyokuwa wakinipangia kazi kulingana na taratibu za Kanisa za ajira. Kipindi…

TAKUKURU yawachunguza TBL

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeanza kufanya uchunguzi wa kina kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kuthibitisha habari za kiuchunguzi zilizofanywa na gazeti hili la JAMHURI na kubaini kuwa TBL wanatumia udhaifu wa sheria kukwepa kodi nchini….