JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hongera Magufuli, ila sukari, matrafiki…

Wiki iliyopita nilipata fursa ya kuzungumza na mtu mmoja mzito. Mazungumzo yetu yalikuwa ni kwa maslahi ya Taifa. Tulizungumzia ustawi wa Taifa letu na mwelekeo wa nchi chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli. Mazungumzo yetu yalijaa nia njema,…

Ni vyema Serikali ikajitazama upya

Mwanzoni mwa mwaka jana wakati Watanzania walipokuwa wakisubiri uchaguzi, baadhi ya watu walizungumzia sifa za Rais Watanzania waliokuwa wakimuhitaji. Sifa ya kwanza iliyotajwa ni kuwa Watanzania walikuwa wanamuhitaji Rais dikteta yaani mwamrishaji. Waliotoa maoni hayo walidai kuwa nchi imefikia mahali…

ATC wapewe mkataba wa Swissport

Air Tanzania ndilo  Shirika  la  Ndege  la  Taifa  (national flag  carrier)  ambalo linastahili  kumiliki  huduma  zote  muhimu  katika  Viwanja vya Ndege  vyote vya  Tanzania, lakini hali iko kinyume. Huduma zinazotolewa katika viwanja vya ndege ni pamoja na miziggo (Cargo  handling),…

Majangili yateketeza Hifadhi

Athari za kupunguza maeneo ya Hifadhi Mchanganuo wa faida za maeneo yaliyohifadhiwa na zile za ufugaji yanaonesha wazi kuwa hifadhi ya maliasili ni sekta muhimu, pana na mtambuka.  Sekta hii ndio msingi wa kuwapo kwa maendeleo ya sekta nyingine nyingi…

Tuendeleze demokrasia (1)

Juzi juzi hapa, wakati naangalia runinga matangazo ya BBC, kulikuwa na majadiliano makali katika Bunge la Uingereza.  Kule kwanza kumetokea kashfa ile ya Panama. Nyaraka za Kampuni ya Mossack Fonseca zilizowataja vigogo waliokwepa kodi nchini kwao, na kupeleka fedha zao…

Ukombozi wa Mwafrika umetimia?

Kesho Mei 25 ni Siku ya Afrika, siku ambayo imewekwa na Umoja wa Afrika (AU) kwa nia ya kukumbuka na kutathmini nguvu na uwezo uliofanywa na Umoja huo katika harakati za kukomboa nchi za Bara la Afrika. Historia ya Umoja…