JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tuwasaidie wazee wayamudu maisha

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia afya njema na amani kila kukicha. Kusema kweli hatuna budi sisi wanadamu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mema mengi anayotutendea ikiwa ni pamoja na uhai, ambao tumejaaliwa kuwa nao kutokana na neema na upendo…

Tuendeleze demokrasia (3)

Viongozi wa Tanzania kuanzia Baba wa Taifa, Mzee Mwinyi, Rais mstaafu Awamu ya Pili,na hivi sasa Rais mstaafu Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa wote hawa kwa namna moja au nyingine wamekuwa wanashughulikia usuluhishi kule Rwanda, Burundi, Sudan na Comoro.  Kumbe…

Tumefeli somo la ustaarabu

Kuna ‘kosa’ nimelitenda hivi karibuni. Kosa lenyewe ni la kuwakwida vijana wawili walioamua-bila soni- kujisaidia hadharani katika barabara tunayoitumia mtaani kwetu. Wale vijana sura zao zilikuwa ngeni kwangu. Nilipowakaribia, nilishuka katika gari na kuwauliza kwanini wameamua kujisaidia hadharani. Jibu lao…

Yah: Ukasumba wa kijinga wa kuiga kila kitu cha ajabu

Wiki kadhaa zilizopita, niliwahi kuandika hapa juu ya kasumba ya kudharau kilicho chetu na kuona cha watu wengine ni bora kuliko chetu. Niliwakumbusha maisha yetu ya kujitegemea siku chache baada ya Vita ya Uganda jinsi tulivyofunga mikanda na kujitegemea kwa…

Watanzania usalama wetu mikononi mwetu

“Ukweli una tabia moja nzuri sana, haujali mkubwa wala mdogo; haujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kujilipiza kisasi; kama ukipuuza.  Ukiniona nataka kulipiga teke jiwe kwa kuwa nafikiri kuwa ni dongo au…

Mbinu za kubadalisha tabia mbovu

Kwenye kitabu nilichosoma hivi karibuni, The Power of Habit (Kwa Kiswahili: Nguvu ya Kubadilisha Tabia) mwandishi Charles Duhigg anatoa somo juu ya namna ya kubadilisha tabia zisizofaa. Ni kitabu kilichochapishwa mwaka 2012 na kampuni ya Random House Trade Paperbacks ya…