JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Daladala zinavyosumbua wananchi

Nazungumzia daladala za Dar es Salaam. Kihistoria mpaka mwaka 1983 hakukuwa na mabasi ya abiria yaliyokuwa yakiitwa ‘daladala.’ Jina hili ‘daladala’ lilianza kutumika mwaka 1983. Mwaka 1983 Dar es Salaam ilikuwa na magari machache ya abiria. Watu wengi wakawa wanachelewa…

Kuwa ombaomba ni fedheha

Awali ya yote, nianze mada hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai aliotujaalia, mimi na wewe, kuweza kuwa hai hadi sasa.  Naamini uhai tulio nao ni kwa neema ya Mungu maana wengi walitamani tuwe nao lakini haikuwezekana. Hivyo…

Maajabu ya Mbunge wa Karagwe

Katika hali isiyotarajiwa kwenye kizazi cha sasa, kizazi cha sayansi na teknolojia, kizazi kinachosifika kwa kuwa na maono mapana, Mbunge wa Jimbo la Karagwe (CCM), Innocent Bashungwa, amelishangaza Taifa na ndugu zangu Wanyambo. Bashungwa, kijana matanashati, mbunge kijana aliyepata fursa…

Mchezo mchafu vitalu Ziwa Natron

Mgogoro ulioibuka kati ya kampuni ya Wingert Windrose Safaris (Tanzania) Ltd (WWS) na Green Mile Safari Company Ltd (GM) unazidi kuibua maswali mengi baada ya kubainika kuwapo kwa mchezo mchafu ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Mchezo huo mchafu…

Ndugu Rais, hawa ndiyo viongozi wetu wa mwendo kasi?

Ndugu Rais kuna kiongozi mmoja alitamka bungeni kuwa Burundi isiitishe Tanzania, la sivyo tutapeleka jeshi kuiangamiza yote. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliitembelea Burundi. Huko aliulizwa na mwananchi mmoja kwanini Tanzania ilitaka kuivamia Burundi. Maneno hayo yalitamkwa na…

Tusisahau historia hii (1)

Wasomaji wa makala zangu katika Gazeti la JAMHURI wamenisaidia sana mimi kujitambua ninavyoeleweka katika jamii. Ujumbe mfupi wa naandishi (SMS) nyingi zimenikomaza, zimenipa moyo na zimenijengea hali ya kujiamini kuwa ninatoa ‘material’ kwa somo la URAIA hapa nchini. Wale waliofaidika…