JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiama CCM

Sasa ni wazi kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kipo kwenye hatua za mwisho za kufumuliwa na kuundwa upya. Hatua hiyo itawezekana punde tu baada ya Rais John Magufuli, kupigiwa kura na Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM uliopangwa kufanyika Julai 23,…

Mawaziri wakikwepa kiwanda cha saruji

Wakazi wa kata za Boko na Bunju jijini Dar es Salaam ambao wamekilalamikia kiwanda cha Saruji cha Twiga Cement (Wazo) kwa kuharibu mazingira wamewalalamikia Mawaziri wa Wizara ya Muungano na Mazingira kwa kushindwa kuchukua hatua kwa kiwanda hicho. Pamoja na…

Tembo, faru hatarini kutoweka

Machafuko ya kisiasa katika nchi za Afrika na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, kumechangia kuzagaa kwa silaha za kivita katika baadhi ya nchi ikiwamo Tanzania, hatua iliyotajwa kuwa kichocheo kikubwa cha mauaji ya tembo nchini. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni…

Mifugo kuua Hifadhi ya Katavi

Hifadhi ya Taifa ya Katavi iko hatarini kutoweka, kutokana na kuingizwa kwa maelfu ya mifugo. Katavi ni Hafadhi ya Taifa ya tatu kwa ukubwa miongoni mwa hifadhi 16 hapa nchini. Hifadhi nyingine ni Serengeti, Ruaha, Mikumi, Milima ya Udzungwa, Milima…

CCM acheni majungu, jengeni nchi

Leo naandika makala hii nikiwa hapa jijini Accra, nchini Ghana. Ghana ni nchi iliyokuwa ya kwanza kupata uhuru barani Afrika.  Nchi hii ilitutangulia miaka minne kupata uhuru kwa maana ya kupata uhuru Machi 6, 1957 ambapo Dk. Kwame Nkrumah alitangazwa…

Siasa za vyuo vikuu zinaashiria hatari

Tunatambua na kuheshimu haki ya kila Mtanzania ya kushiriki siasa. Siasa katika mfumo wa vyama vingi zina changamoto ambazo Taifa lisipokuwa makini linaweza kujikuta watu wake wakigawanyika. Kinachoendelea sasa katika vyuo vikuu si kitu cha kufumbiwa macho. Mamia kwa maelfu…