JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wafanyakazi wa meli wampa ukweli KM

Sasa ni dhahiri kuwa MSCL haifahamiki vizuri. Kwa mshangao mkubwa wafanyakazi wa MSCL tumeona taarifa ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano alipohojiwa na Gazeti la JAMHURI wiki iliyopita akasema kuwa hakuna mali za MSCL zilizohamishiwa TPA,…

Ndugu Rais atawalaye kwa upanga atakufa kwa upanga

Ndugu Rais, kwa unyenyekevu mkubwa naomba nikutume upeleke salamu. Nikutume unipelekee salamu zangu kwa mwanamwema Kassim Majaliwa, jina lake la kati silijui.  Naujua sana ule wimbo wa ‘Njiwa peleka salamu’ lakini wewe si njiwa; nakutuma kwa sababu wewe ndiye baba…

Tusisahau historia hii (2)

Sehemu ya kwanza, mwandishi wa makala hii alisema katika mkutano wa Tabora mwaka 1958 wanachama wote wa TANU, mkutano mzima ule ulitaka UAMUZI wa KUSUSIA uchaguzi wa MSETO. Ni Mwalimu Nyerere peke yake aliyesimama kidete kwa utulivu (cool, methodical and…

Rais Magufuli asiwaogope manabii wa wakwepa kodi

Wakati wa kudai Uhuru, wapo Waafrika waliodhani mapambano yale yasingefanikishwa na Waafrika. Waafrika shupavu kwa pamoja na Wazungu na Waasia wachache walipounganisha nguvu kuutokomeza ukoloni, bado kukawapo watu walionekana kutofurahishwa na hatua ya kujitawala! Kwa kutofurahishwa huko, wakaamua kuwa vibaraka…

Yah: Demokrasia inaongozwa na sheria tulizojiwekea kikatiba

Wiki jana, niliandika juu ya nafasi ya kufanya mikutano ya kidemokrasia iliyopigwa marufuku muda wa kazi, niliandika kutokana na kumbukumbu mbalimbali za ujana wetu miaka ile dahari ya mfumo wa chama kimoja, ambapo tulikuwa na hiyari ya kuchagua jembe au…

Anayempenda baba tumfanye mama

Lugha yetu ya Kiswahili haina uchache wa maneno katika matumizi ya kila siku kiasi cha kumfanya mtumiaji wa lugha hii kupata shida na kuchanganya maneno mawili au zaidi kukusudia kuelezea jambo moja; na kuleta mgongano wa mawazo kwa msikilizaji au…