JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Vigogo wagawana mali Bima

Baada ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) kuuza nyumba zake za Kijitonyama jijini Dar es Salaam kwa Baraza la Kiswahili (BAKITA) kwa mkataba wenye utata NIC wameingia katika kashfa nyingine ya kutelekeza majengo yake kwa nia ya kuuziana kwa…

Tunayeyusha kiwango cha uvumilivu

Hivi karibuni naona mwelekeo usio na afya kwa taifa letu. Nimewaona polisi wakipiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, nimeona vyama vikitoa matamko ya nia ya kukabiliana, nimesikia baadhi ya vijana ndani ya vyama wakihamasishana kwenda Dodoma kuzuia…

Bandari ijenge uchumi

Tanzania ni nchi yenye bahati. Bahati yake inafahamika si kwa nchi yetu tu bali hata kwa wakoloni waliopata kututawala. Tanzania imetokana na Muungano wa nchi za Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Katika mkutano wa Berlin, wa mwaka 1884/85,…

Rais Magufuli mnusuru Mtanzania huyu

Hamis Wendo Mwinyipembe, mkazi wa Kijiji cha Gombero, Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga ni miongoni mwa wananchi wengi walioonja suluba ya kunyanyaswa na vyombo vya dola pengine kwa kukosa uelewa wa sheria ama kufanyiwa vitendo hivyo kwa makusudi na wahusika….

Ndugu Rais tufanyie nchi mapya!

Ndugu Rais, maandiko yanasema, nautamani mji mpya. Mji ule ambao chochote kinyonge hakitaingia. Nao utafanana na Yerusalem mpya. Nami naitamani nchi mpya. Nchi ambayo manyang’au na wanaofifisha haki za raia hawatakuwamo. Nayo ndiyo Tanzania mpya ninayoitamani! Hakuna mwingine kwa sasa,…

Vijana wetu wote ni wanasiasa

Kuna habari kwamba vijana 2,000 wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) walikuwa wanafanya juu chini kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma usifanyike. Hii ni baada ya vijana hao wa Bavicha kuona kwamba wakati mikutano ya siasa imepigwa marufuku kambi…