JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Changamoto za kufufua meli zinatisha

Pamoja na Serikali kuonesha nia njema ya kutaka kurudisha huduma za usafiri majini katika maziwa makuu, kwa kutumia vyombo vya umma yaani kuifufua Marine Services Company Limited (MSCL), tatizo bado lipo.  Serikali inategemea kutoa fedha kwa ajili ya kufufua meli…

Dk. Jane: Mtafiti aliyeipaisha Gombe

Umewahi kuwaza kuhusu binti wa miaka 26, kutoka katika nchi na bara lake na kwenda bara jingine katika kile kinachoitwa kutimiza ndoto zake? Ukikutana na Dk. Jane Goodall na kumuuliza swali hilo, jibu lake ni rahisi sana, ndiyo. Ni siku…

Upanuzi airport umeleta majanga

Habari Mhariri,   Mimi ni mkazi wa Pugu, mmoja ya wapenzi wakubwa wa gazeti la Jamhuri linaloanzia wengine wanapoishia, naamini ni kwenye uwezo ndio maana sahihi ya kauli hii (uwezo wenu ni zaidi ya wale). Napenda kuwasilisha kilio changu, na…

Ndugu Rais, kwa neno lako nitatupa wavu

Ndugu Rais, sasa siyo tena kwa kificho, ni jambo lililowazi kuwa matumaini yaliyorejewa sasa yanaanza kuyeyuka. Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo giza linavyozidi kuingia. Watu japo kwa kunong’ona wanaanza kuulizana; tulichodhani ndicho, ndicho? Muhula wetu ni miaka mitano. Na huu…

India, Israel zina maslahi Africa

Wakati Afrika ikijiandaa na mkutano wake jijini Kigali, Rwanda, viongozi mbalimbali wa dunia wametembea nchi mbalimbali wakitafuta kupenyeza ajenda zao. Viongozi wakubwa waliotembelea Afrika ni pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na yule wa India, Narendra Modi. Ziara…

Tunahitaji Mandela wengine kuivusha Afrika kiuchumi

Jana, Julai 18, ni Siku ya Mandela, inayoadhimishwa kila mwaka, kama ilivyotangazwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwaka 2009, kutambua mchango wake katika kuutokomeza ubaguzi wa rangi Afrika Kuisini. Katika kuikumbuka Siku ya Mandela, Rais wa Kwanza wa…