JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk. Jane asimulia Sokwe wa Gombe

Jumanne Rashid ambaye mwaka 1960 alikuwa kijana mdogo, alikuwa Gombe, alimsaidia Dk Jane Goodal katika kutoa mizigo kwenye meli na kuandaa kambi kando ya Ziwa Tanganyika kwa ajili ya utafiti, kama ilivyoandikwa katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita. Dk….

Taasisi ya Moyo: Tumaini kwa Watanzania

Miaka kumi iliyopita Serikali imetumia Sh bilioni 2.5 kupeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa nje ya nchi, hasa nchini India.  Takwimu kutoka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, zinaonyesha kuwa kati ya Januari mpaka Juni 2016, Serikali…

Wasifia kituo cha Mwendokasi

WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wanaotumia kituo cha Mabasi cha Gerezani, Kariakoo kilichopo Wilaya ya Ilala wamevutiwa na mazingira bora ya kituo hicho, na baadhi wamependekeza magari ya mwendokasi yaende Mbagala, Ukonga, Mwenge na Buguruni.  Wameitaka Serikali kuendelea…

“TUEPUKE SUMU HIZI”

Watanzania, ni watu wa amani, ni watu tunaojaribu sana kuishi kindungu na tuwatulivu. Kwa maana hiyo, nchi yetu imejipatia sifa moja nzuri sana. Tanzania inaitwa kisiwa cha amani humu barani Afrika.  Ulimwengu unakiri hilo na tunastahili kujivunia hali hiyo. Nchi…

Uongozi wa Awamu ya Tano na hatima ya nchi yetu

Katika kijitabu chake kidogo “Tujisahihishe” alichokiandika Mei 1962, Baba wa Taifa, Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwaonya viongozi na wananchi juu ya madhara ya ubinafsi kwa nchi changa kama Tanzania iliyodhamiria kuleta…

Yah: Mheshimiwa Rais, usiamini sana katika elimu, uongozi ni kipaji pia

Katika siku za hivi karibuni umekuwa ukifanya uteuzi kuziba nafasi nyingi za majipu ambayo umeyatumbua, kwa ufupi  umeifurahisha jamii ya walalahoi wengi walioteseka katika kipindi kirefu ndani ya nchi yao. Majipu mengi ambayo yalikuwa yakitegemea majipu makubwa yamewanyanyasa sana wananchi…